Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar

Katibu Mkuu wa Tume ya Utalii Zanzibar, Salehe Ramadhani Ferouz, amesema mashambulizi ya baadhi ya watalii waliowahi kutembelea visiwa vya Zanzibar, yameifanya picha ya kisiwa hicho cha amani kubadilika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii kupungua Zanzibar

KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema  hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Watalii bado kivutia kikubwa Zanzibar

Kizimkazi imekuwa kivutio Kikubwa cha Watalii kutoka Sehemu mbali mbali Ulimwenguni kuja kuangalia Dolphine katika Bahari Hind ya Zanzibar,Afrika Mashariki Kwao ni Kivutio cha kuwatia Hamasa hasa kwa Kuwaona vile Wanavyoshuhulika katika maeneo yao na kupata fursa ya kuwapiga picha na video Wavuvi wa Kizimkazi hufaidika na shughuli hiyo ya kuwapeleka Watalii kuona Umashuhuri wa Dolphin wa Bahari hiyo walisema wakati nilipofanya mahojiano nao katika ziara yangu huko zenj.

 

5 years ago

Michuzi

ITALI YAONGOZA UINGIZAJI WATALII ZANZIBAR

Na Mwashungi Tahir    Imeelezwa kwamba idadi walioingia nchini kwa mwezi wa January 2020 ni 58.761 sawa na ongezeko la asilimia 27.4 ikilinganishwa  na wageni 46,133 walioingia  mwezi wa January mwaka 2019.
Hayo amewasilisha  Raya Mohammed Mahfoudh Afisa Takwimu Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali  huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu wa Serikali  uliopo Mazizini wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uingiaji wa wageni Zanzibar.
Amesema Nchi inayoongoza kuleta...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wawatoa hofu watalii Zanzibar

Polisi imewatoa wasiwasi wananchi wa visiwani hapa na watalii kutoka nchi ya nje ikisema  itamarisha  ulinzi na usalama katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR WAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA WATALII WANAOTOKEA NCHINI ITALY

Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezuia uingiaji wa ndege za kitalii kutoka nchini Italy kuja Zanzibar ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa maradhi ya Corona.

Akizungumza na waandishi wa Habari Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed huko katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja kuhusu mwenendo wa maradhi ya Corona yaliyosambaa Ulimwenguni amesema wamezuia uingiaji wa ndege hizo ili kuchukua tahadhari na ugonjwa huo usisambae nchini.

Alifahamisha kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

DOA LA LOWASA HALITOKI



Kilicho mfanya Dr Slaa ashindwe Kumuunga Mkono Lowasa ni kua hakutarajia Nyoka ambae alimtangaza kua ni Adui Mkubwa na Muharibifu kama Atamuingilia Nyumbani kwake na Kumtoa Nje na Nyoka huyo Adui alokua akimtangaza Tanzania Nzima kubakia Nyumbani kwake.Kabakia sasa hana tena Thamani yoyote kwa Chadema wala Ukawa ila Zawadi anayo ipata ni Matusi ,kweli waswahili wamesema Fadhila za Pumnda ni Mateke na Mashuzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yatia doa Krismasi

Baadhi ya wakazi wa Bonde la Mkwajuni na Msimbazi  Manispaa ya Kinondoni waliovunjiwa nyumba zao na Serikali, wamesherekea Sikukuu ya Krismasi juu ya vifusi, huku wengi wao wakisema hawajui kama leo (jana) ni sikukuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 7 wa Costa Rica hawana doa

Wachezaji 7 wa Costa Rica waliolazimishwa kupimwa mkojo baada ya mechi ya Italia hawakutumia dawa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mihuri yatia doa upigaji kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imelazimika kutumia mihuri ya mwaka 2010 katika vituo mbalimbali vya Jimbo la Morogoro Mjini baada ya mihuri ya mwaka huu kuwa na matatizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani