Polisi wawatoa hofu watalii Zanzibar
Polisi imewatoa wasiwasi wananchi wa visiwani hapa na watalii kutoka nchi ya nje ikisema itamarisha ulinzi na usalama katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Watalii kupungua Zanzibar
KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...
5 years ago
MichuziITALI YAONGOZA UINGIZAJI WATALII ZANZIBAR
Hayo amewasilisha Raya Mohammed Mahfoudh Afisa Takwimu Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu wa Serikali uliopo Mazizini wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uingiaji wa wageni Zanzibar.
Amesema Nchi inayoongoza kuleta...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Watalii bado kivutia kikubwa Zanzibar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ub5nufmFQwY/XmJfQDr5nsI/AAAAAAALhlg/j43I41doM-kxJtK9VuwkpywS8Uzgh3TKACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZANZIBAR WAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA WATALII WANAOTOKEA NCHINI ITALY
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezuia uingiaji wa ndege za kitalii kutoka nchini Italy kuja Zanzibar ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa maradhi ya Corona.
Akizungumza na waandishi wa Habari Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed huko katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja kuhusu mwenendo wa maradhi ya Corona yaliyosambaa Ulimwenguni amesema wamezuia uingiaji wa ndege hizo ili kuchukua tahadhari na ugonjwa huo usisambae nchini.
Alifahamisha kuwa...
11 years ago
GPLWALIOOA GLOBAL WAWATOA JASHO MABACHELA
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Serikali yawaondolea hofu wastaafu Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Mpango Maalum wa Mikopo kwa Wafanyakazi wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar hapo Zanzibar Ocean View.
Na Othman Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kujenga mazingira mazuri kwa wastaafu wake ili kustaafu kwao kusiogopwe na kuonekana ni mwanzo wa kuanza kwa kipindi cha maisha ya shida yasiyokuwa na matumaini.
Alisema Serikali inataka...