Serikali yawaondolea hofu wastaafu Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Mpango Maalum wa Mikopo kwa Wafanyakazi wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar hapo Zanzibar Ocean View.
Na Othman Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kujenga mazingira mazuri kwa wastaafu wake ili kustaafu kwao kusiogopwe na kuonekana ni mwanzo wa kuanza kwa kipindi cha maisha ya shida yasiyokuwa na matumaini.
Alisema Serikali inataka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
UZINDUZI WA MPANGO WA MIKOPO YA WASTAAFU ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s1600/unnamed+(1).jpg)
VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RwcigNrZVvI/U81N3BWx1RI/AAAAAAAF4dQ/L7Hk0qJ6Ul4/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
TPB, ZSSF wawabeba wastaafu Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema mpango wa utoaji mikopo kwa wastaafu ulioanza kutekelezwa, una lengo la kuwasaidia katika kukidhi mahitaji yao mbalimbali ya kimaisha....
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu wanajeshi wastaafu kudai Sh. Milioni 3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Gazeti la Kiingereza la The East African, Toleo Na. 1030 lililochapishwa mwishoni mwa wiki, Jumamosi, Julai 26, 2014, limeandika habari yenye kichwa cha habari “Ex-soldiers want $3m for covert Congo operation”, ikiwa na maana kuwa wanajeshi wastaafu wanadai kulipwa dola za Marekani milioni tatu kwa kushiriki operesheni ya siri katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Inadaiwa katika habari hiyo kwa zaidi ya wanajeshi 400...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s72-c/001-1.jpg)
SERIKALI KUTATUA SUALA LA WASTAAFU KUTOPATA MAFAO KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s640/001-1.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George Huruma Mkuchika (Mb) akitoa ahadi Bungeni ya kutatua changamoto ya ucheleweshwaji wa mafao ya wastaafu wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021.
………………………………………………………………..
James K. Mwanamyoto-Dodoma
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kukutana na Maafisa Utumishi wote nchini ili kuwakumbusha na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
JUMUIYA YA WAZEE WASTAAFU, WAKULIMA NA WAFANYAKAZI ZANZIBAR WATOA TAMKO JUU YA HALI ILIOPO VISIWAMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Polisi wawatoa hofu watalii Zanzibar
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Serikali yawaondoa wananchi hofu ya Marburg
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/11(2).jpg)
Serikali imewatoa hofu wa wananchi kuhusu ugonjwa mpya wa Marburg ambao umelipuka nchini Uganda huku dalili z\ake zikifanana na za Ebola.
Aidha Wizara imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazosambazwa na watu wachache kuwa ugonjwa wa ebola umeingia nchini wakati siyo kweli kwa kuwa Wizara ndio inatakiwa kutoa taarifa hizo.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Katibu Mkuu...