TPB, ZSSF wawabeba wastaafu Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema mpango wa utoaji mikopo kwa wastaafu ulioanza kutekelezwa, una lengo la kuwasaidia katika kukidhi mahitaji yao mbalimbali ya kimaisha....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jun
PSPF, TPB kukopesha wastaafu
MFUKO wa Pensheni wa PSPF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.
10 years ago
Michuzi18 Aug
Waziri Gaudensia Kabaka aipongeza TPB kutoa mikopo kwa wastaafu
![Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta (TPB), Sabasaba Moshingi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa wameshikana mikono na kuinyanyua juu ikiwa ni ishara ya kuwaunganisha wastaafu kwenye fursa mara baada ya uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0079.jpg)
![Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0071.jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Apr
RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WADAU WA ZSSF
![dk2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk2.jpg)
![dk4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk4.jpg)
10 years ago
VijimamboNSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Serikali yawaondolea hofu wastaafu Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Mpango Maalum wa Mikopo kwa Wafanyakazi wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar hapo Zanzibar Ocean View.
Na Othman Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kujenga mazingira mazuri kwa wastaafu wake ili kustaafu kwao kusiogopwe na kuonekana ni mwanzo wa kuanza kwa kipindi cha maisha ya shida yasiyokuwa na matumaini.
Alisema Serikali inataka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
UZINDUZI WA MPANGO WA MIKOPO YA WASTAAFU ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s1600/unnamed+(1).jpg)
VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RwcigNrZVvI/U81N3BWx1RI/AAAAAAAF4dQ/L7Hk0qJ6Ul4/s1600/unnamed+(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
JUMUIYA YA WAZEE WASTAAFU, WAKULIMA NA WAFANYAKAZI ZANZIBAR WATOA TAMKO JUU YA HALI ILIOPO VISIWAMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Apr
ZSSF yaanzisha fao la uzazi
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kuanzishwa kwa fao la uzazi katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Zanzibar (ZSSF) ni matokeo ya juhudi za Serikali za kupambana na kupunguza vifo vya wanawake wajawazito na watoto nchini.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Utafiti wawabeba vijana Urais 2015
SHIRIKA la Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (TEDRO), limesema katika utafiti walioufanya kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa na matarajio kuelekea uchaguzi mkuu 2015, umeonesha kwamba endapo mgombea urais kijana atapendekezwa atakubalika kwa asilimia 82.