UZINDUZI WA MPANGO WA MIKOPO YA WASTAAFU ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar. WAFANYAKAZI wa Benki Posta Tanzania (TPB) wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kupitia Benki hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SIa6MDMCt6A/U85uKEcmWeI/AAAAAAAF4xc/7IiqvL8kbSg/s72-c/unnamed+(59).jpg)
WAZIRI WA BIASHARA VIWANDA, NA MASOKO ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU UZINDUZI WA MPANGO WA ELIMU KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SIa6MDMCt6A/U85uKEcmWeI/AAAAAAAF4xc/7IiqvL8kbSg/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-41Pu9MtHh9s/U85uM19wkLI/AAAAAAAF4xk/dfiNtkNbEnc/s1600/unnamed+(56).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
PSPF na mikopo isiyo dhamana kwa wastaafu
“NIKIWA katika maombi huku nikilia, nikimuomba Mungu anisaidie nipate pesa mwanangu aweze kwenda chuo, nilisikia ujumbe ukiingia katika simu yangu ya mkononi. “Baada ya kumaliza maombi, nilifungua ujumbe na kuusoma,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UDvljxFyu9s/XnMBIC7kDOI/AAAAAAALkYc/TURKrI9kTe0w4wNJHUrJYyILo13Xe0qBACLcBGAsYHQ/s72-c/00c296e7-0f97-4761-8d7e-8699134f2163.jpg)
TAKUKURU KAGERA WALIVYOFANIKISHA KUREJESHA FEDHA ZA WASTAAFU KUTOKA TAASISI YA MIKOPO .
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa hapa Nchini TAKUKURU Mkoa wa Kagera inaendelea kuchunguza na kubaini Taasisi za kifedha ambazo zinajihusisha na Utoaji wa Mikopo kwa Riba kubwa tofauti na mikataba husika, huku Wananchi wakisahuriwa kukopa Fedha Benki ambazo riba zao ni nafuu.
Ushauri huo uliotolewa na Kaimu Mkuu wa Takukuru,Mkoa wa Kagera,Ndg Hassan W.Mossi ammbae amewataka wananchi na wastaafu kuwa makini pindi wanapokopa kwa kampuni za ukopeshaji, ...
10 years ago
Michuzi18 Aug
Waziri Gaudensia Kabaka aipongeza TPB kutoa mikopo kwa wastaafu
![Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta (TPB), Sabasaba Moshingi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa wameshikana mikono na kuinyanyua juu ikiwa ni ishara ya kuwaunganisha wastaafu kwenye fursa mara baada ya uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0079.jpg)
![Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0071.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Serikali yawaondolea hofu wastaafu Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Mpango Maalum wa Mikopo kwa Wafanyakazi wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar hapo Zanzibar Ocean View.
Na Othman Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kujenga mazingira mazuri kwa wastaafu wake ili kustaafu kwao kusiogopwe na kuonekana ni mwanzo wa kuanza kwa kipindi cha maisha ya shida yasiyokuwa na matumaini.
Alisema Serikali inataka...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
TPB, ZSSF wawabeba wastaafu Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema mpango wa utoaji mikopo kwa wastaafu ulioanza kutekelezwa, una lengo la kuwasaidia katika kukidhi mahitaji yao mbalimbali ya kimaisha....
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Shirika la ndege la ETIHAD lapokea tuzo ya kimataifa baada ya kujiunga na mpango wa kupata mikopo ya kifedha
Mkataba wenya thamani ya dola za kimarekani milioni $700m uliosainiwa na washirika wa ndege ya Etihad kwa ajili ya upanuzi wa shirika hilo umetambuliwa na shirika lenye sifa duniani katika nyanja ya masuala ya kifedha na uchumi la “International Financing Review (IFR)” na hivyo kuitunuku shirika la ndege la Etihad na tuzo maalum.
Mkataba huo wa miaka mitano ulitambulika kama dhamana kubwa kabisa ya mwaka iliyosainiwa kutoka barana ulaya, mashariki ya kati na Afrika, katika hafla...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DK SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA CHANGAMOTO ZAKE MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQ9a6R4QuFo/VAhZKzXyrgI/AAAAAAAGd2c/QGh6Q0KBlpo/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
JUMUIYA YA WAZEE WASTAAFU, WAKULIMA NA WAFANYAKAZI ZANZIBAR WATOA TAMKO JUU YA HALI ILIOPO VISIWAMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5SfRv2ZAT4/VjX_CZbP9rI/AAAAAAAID1k/wH98chmlhKE/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)