TAKUKURU KAGERA WALIVYOFANIKISHA KUREJESHA FEDHA ZA WASTAAFU KUTOKA TAASISI YA MIKOPO .
![](https://1.bp.blogspot.com/-UDvljxFyu9s/XnMBIC7kDOI/AAAAAAALkYc/TURKrI9kTe0w4wNJHUrJYyILo13Xe0qBACLcBGAsYHQ/s72-c/00c296e7-0f97-4761-8d7e-8699134f2163.jpg)
Na Abdullatif Yunus - Michuzi TV.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa hapa Nchini TAKUKURU Mkoa wa Kagera inaendelea kuchunguza na kubaini Taasisi za kifedha ambazo zinajihusisha na Utoaji wa Mikopo kwa Riba kubwa tofauti na mikataba husika, huku Wananchi wakisahuriwa kukopa Fedha Benki ambazo riba zao ni nafuu.
Ushauri huo uliotolewa na Kaimu Mkuu wa Takukuru,Mkoa wa Kagera,Ndg Hassan W.Mossi ammbae amewataka wananchi na wastaafu kuwa makini pindi wanapokopa kwa kampuni za ukopeshaji, ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWATAKA VIONGOZI TFF KUREJESHA FEDHA WALIZOZICHUKUA.
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWAAMURU VIONGOZI WA TFF KUREJESHA FEDHA ALIZOZITOA RAIS MAGUFULI KUSAIDIA MAANDALIZI MICHUANO YA VIJANA AFCON
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
10 years ago
MichuziWANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...
11 years ago
Michuzi02 Jul
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aVqB36xBQMQ/Xvg7cOGWWKI/AAAAAAABMoQ/1ganG9WbyfYqPHPLVZqTAboPP9QNn-oqgCLcBGAsYHQ/s72-c/TAKUKURU.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Mbinu mpya kuwabana wanaokwepa kurejesha mikopo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
UZINDUZI WA MPANGO WA MIKOPO YA WASTAAFU ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-mfV8OQzpk6w/U81NyiAiSGI/AAAAAAAF4cY/OwgQXFm9Fwg/s1600/unnamed+(1).jpg)
VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RwcigNrZVvI/U81N3BWx1RI/AAAAAAAF4dQ/L7Hk0qJ6Ul4/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
PSPF na mikopo isiyo dhamana kwa wastaafu
“NIKIWA katika maombi huku nikilia, nikimuomba Mungu anisaidie nipate pesa mwanangu aweze kwenda chuo, nilisikia ujumbe ukiingia katika simu yangu ya mkononi. “Baada ya kumaliza maombi, nilifungua ujumbe na kuusoma,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.