NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF
Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3.
Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3.
Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s72-c/unnamed+(14).jpg)
JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--erK5ZdVzYc/U1VmdgAeEnI/AAAAAAAFcM8/ZUHTx36PGhQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pykTzHSGnHU/U1VmdcD7PuI/AAAAAAAFcNE/U1jMY_FlxEA/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station, mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja.
Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...
10 years ago
Michuzi27 Aug
Kocha wa Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi Aongeza Juhudi ya kunyanyua Kiwango cha Mpira wa Miguu Zenj
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10593213_10154497356185247_7754302169297916354_n.jpg?oh=78d7532cb00f18844f0cbf4b0daaa824&oe=546EDF4C)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10635776_10154497339865247_728635029787414876_n.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Ujerumani yashinda, Ugiriki hoi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8Sfiec2kFV8TNjZvyiJ8E-7qefMafhNURpkEk20YUqJ0C0vqpgnue851t967UiNgFkjO49IPvFy7NDlJp5-MfML4QGnJ9Rw/CHELSEA4.jpg?width=650)
CHELSEA YASHINDA 2-1 KWA LIVERPOOL
11 years ago
BBCSwahili25 May
R.Madrid yashinda ubingwa wa ulaya
11 years ago
BBCSwahili27 May
Cameroun yashinda licha ya mejeraha
11 years ago
Mwananchi10 Feb
CAF: Azam yashinda kiduchu