Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara

DSC_2095

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.

DSC_2122

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. 

DSC_2149

Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.

 Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.  Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania bara kuchuana na wenyeji Ethiopia

Hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge inahitimishwa leo kwa michezo miwili.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars wakataa hoteli ya wenyeji wao Malawi

Siku zote maisha ya soka ni fitina barani Afrika. Maisha hayo yaliendelea juzi jioni jijini Blantyre baada ya maofisa wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiongozwa na mjumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ahmed Msafiri Mgoyi kugomea hoteli waliyoandaliwa na maofisa wa Malawi.

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA

Kikosi cha Taifa Stars. Taifa Stars imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Namibia katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jijini Windhoek. Stars ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na kiungo mwenye kipaji wa pembeni wa Azam FC, Hamis Mcha maarufu kama Vialli. Vialli alifunga bao hilo zikiwa zimebaki dakika tatu tu mpira kwisha, lakini wenyeji wakasawazisha katika dakika za nyongeza. Bao lao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AMUCTA kidedea bonanza la Pasaka

TIMU ya Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Agustino tawi la Tabora (AMUCTA), imeibuka kidedea katika bonanza maalumu la Pasaka la mchezo wa wavu lililofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Chuo cha...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uamuzi uliochukuliwa na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar wa kujadiliana na mjenzi wa Bara bara ya Koani hadi Jumbi ndio njia pekee itakayoweza kufanikisha ujenzi wa Bara bara hiyo. Alisema uamuzi wa pande hizo mbili wa kupelekana Mahakamani hautowasaidia Wananchi ambao lengo lao ni kupata huduma za mawasiliano ya bara bara kwa kuendesha harakati zao za kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...

 

9 years ago

GPL

CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0

Mchezaji wa Chelsea, Kurt Zouma akifunga bao la kwanza dakika ya 53 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal katika Uwanja wa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. ...Wachezaji wa Chelsea…

 

10 years ago

BBCSwahili

JS Kabylie yashinda kesi dhidi ya Caf

JS Kabylie ya Algeria imeshinda rufaa yake dhidi ya adhabu ya Caf kutoshiriki mashindano ya kandanda barani Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani