CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/2C81337500000578-3241084-image-a-72_1442668448161.jpg)
Mchezaji wa Chelsea, Kurt Zouma akifunga bao la kwanza dakika ya 53 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal katika Uwanja wa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. ...Wachezaji wa Chelsea…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*IAaSOBAVEXkhIuNbb6nZwn9bS86lbfJ7z4SdEyweQrGEdAfgLnfG1a2YbBFo-kgQmqa5CxjgcJT-xh4j2lSY7/bloggerimage1609090308.jpg)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA
Timu ya Simba SC imeshinda bao 2 – 0 dhidi ya Yanga SC kwenye mechi ya kirafiki ya Mtani Jembe 2 Uwanja wa taifa, Dar wafungaji Okwi na Maguri. VIKOSI VYA LEO YANGA VS SIMBA YANGA: Deo Dida, Abdul Juma, Oscar Joshua, Nadir Haroub Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Emerson Roque, Simon Msuva, Kpah Sherman, Coutinho SIMBA: Ivo Mapunda, Nassor Chollo, Mohammed Hussein, Hassan Isihaka, Juuko Murishid, Jonas Mkude...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lQ0QUhfJdPFUl0yHCFaz*gwEZCyKzyerKWT10cbxuV0mxdcydwYoEa1MZtcRIsIVST12T9sxBiQSbWMOF*KpxQ7JVw3ii*5J/s4.jpg?width=750)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16. Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAN-UTD-14.jpg)
MANCHESTER UNITED YASHINDA BAO 3-1 DHIDI YA CLUB BRUGGE
Mchezaji wa Man Utd, Memphis Depay akishangilia baada ya kusawazisha bao dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Man Utd walipata ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika Uwanja wa Old Trafford usiku wa kuamkima leo. Marouane Fellaini,  akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 90 kipindi cha pili. Soma zaidi hapa ===>… ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s72-c/kipre1.jpg)
AZAM FC yashinda bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s1600/kipre1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Arsenal yashinda, Chelsea yapokea kipigo
Ligi kuu ya England imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya Etihad na Selhurst Park
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
YANGA YASHINDA KWA BAO 2-0 MECHI YAKE NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAYOCHEZWA UWANJA WA TAIFA,
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s640/MMGL0060.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mN5n9wrWXGU/VN9YFUXERRI/AAAAAAAHDvE/uAns9jyyU70/s640/MMGL0070.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8Sfiec2kFV8TNjZvyiJ8E-7qefMafhNURpkEk20YUqJ0C0vqpgnue851t967UiNgFkjO49IPvFy7NDlJp5-MfML4QGnJ9Rw/CHELSEA4.jpg?width=650)
CHELSEA YASHINDA 2-1 KWA LIVERPOOL
Mchezaji wa timu ya Liverpool akishangilia Can jumps  baada ya kufunga bao dakika ya tisa kipindi cha kwanza. Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa  (kulia) akifunga bao la pili dakika ya 67 kipindi cha pili.…
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Arsenal yashinda huku Tottenham ikilazwa
Bao la mapema lililofungwa na mchezaji wa Arsenal Aaron Ramsey lilitosha kuisaidia Arsenal kupunguza mwanya uliopo kati yake na Chelsea.
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Arsenal yaibana Liverpool,Man U yashinda
Arsenal imeimarisha uongozi wao wa kushiriki katika mechi za vilabu bingwa barani Ulaya baada ya kuicharaza Liverpool mabao 4-1
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania