Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAM FC yashinda bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji leo

 Habari na picha  na Mahmoud Zubeiry AZAM FC imepata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni hii.Shukrani kwake mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Kipre Herman Tchetche (pichani juu) aliyefunga bao hilo pekee dakika ya 41 baada ya kutengewa pasi nzuri ya kichwa na Mganda Brian Umony na kufumua shuti kali.Mchezo ulikuwa mkali dakika zote 90...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0

Mchezaji wa Chelsea, Kurt Zouma akifunga bao la kwanza dakika ya 53 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal katika Uwanja wa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. ...Wachezaji wa Chelsea…

 

10 years ago

GPL

SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA

Timu ya Simba SC imeshinda bao 2 – 0 dhidi ya Yanga SC kwenye mechi ya kirafiki ya Mtani Jembe 2 Uwanja wa taifa, Dar wafungaji Okwi na Maguri. VIKOSI VYA LEO YANGA VS SIMBA YANGA: Deo Dida, Abdul Juma, Oscar Joshua, Nadir Haroub Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Emerson Roque, Simon Msuva, Kpah Sherman, Coutinho SIMBA: Ivo Mapunda, Nassor Chollo, Mohammed Hussein, Hassan Isihaka, Juuko Murishid, Jonas Mkude...

 

10 years ago

GPL

SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16. Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

9 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED YASHINDA BAO 3-1 DHIDI YA CLUB BRUGGE

Mchezaji wa Man Utd, Memphis Depay akishangilia baada ya kusawazisha bao dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Man Utd walipata ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika Uwanja wa Old Trafford usiku wa kuamkima leo. Marouane Fellaini,  akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 90 kipindi cha pili. Soma zaidi hapa ===>… ...

 

11 years ago

TheCitizen

Azam see off stubborn Ferroviario

Kipre Tchetche’s first half strike ensured that Azam FC kicked off their CAF Confederation Cup campaign on a high note.

 

11 years ago

TheCitizen

Ferroviario send Azam packing

>Tanzania’s flag bearers in the CAF Confederation Cup, Azam FC, were yesterday shown the door after succumbing to a 2-0 away defeat to Ferroviario de Beira in Mozambique.

 

10 years ago

Michuzi

Azam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2


Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar akimiliki mpira.
 Frank Domayo (shoto) akichuana na beki wa Kagera Sugar, Mussa Nampaka.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo.
Kipre Tchetche akimiliki mpira.
 Frank Domayo akishangilia bao lake.

 

11 years ago

TheCitizen

Poulsen salutes Azam after Ferroviario win

Taifa Stars head coach, Kim Poulsen has hailed Azam FC following their victory against Ferroviario of Mozambique on Sunday.

 

10 years ago

Vijimambo

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…


Mshambuliaji wa Simba, Danny Sserunkuma.
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani