Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YASHINDA KWA BAO 2-0 MECHI YAKE NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAYOCHEZWA UWANJA WA TAIFA,

Timu ya Yanga imeshinda mechi yake na BDF XI FC ya Botswana katika memchi ya kombe la shirikisho Barani Africa, Timu hiyo mahasimu wakubwa wa Simbawametoka kifua mbele kwa ushindi wa mabao 2-0 magoli yote yamefungwa na mchezaji Hamis TambwePicha kwa hisani ya Michuzi Blog zilizopigwa na Othman Michuzi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mchezaji wa timu ya Yanga,Mrisho Khalfan Ngassa akiwania mpira na Mchezaji wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana wakati wa mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika unaopigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jini Dar es salaam.Yanga inaongoza kwa bao 2 - 0 zilizotiwa kimiani na Mshambuliaji Hamis Tambwe. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Golikipa wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana akiondosha hatari iliyokuwa ikielekezwa langoni mwake wakati wa Mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akiwatoka mabeki wa timu ya Komorozine ya nchini Comoro wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga inaongoza kwa Bao 2-0.  Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akichuana vikali na Beki wa Timu ya Komorozine ya nchini Comoro,Ahmad Houmadi (5) wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa...

 

10 years ago

GPL

SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA

Timu ya Simba SC imeshinda bao 2 – 0 dhidi ya Yanga SC kwenye mechi ya kirafiki ya Mtani Jembe 2 Uwanja wa taifa, Dar wafungaji Okwi na Maguri. VIKOSI VYA LEO YANGA VS SIMBA YANGA: Deo Dida, Abdul Juma, Oscar Joshua, Nadir Haroub Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Emerson Roque, Simon Msuva, Kpah Sherman, Coutinho SIMBA: Ivo Mapunda, Nassor Chollo, Mohammed Hussein, Hassan Isihaka, Juuko Murishid, Jonas Mkude...

 

10 years ago

Michuzi

yanga yatakata uwanja wa Taifa leo,Yawatungua wazimbabwe bao 5-1

Timu ya Yanga leo imeichapa Bad 5-1 timu ya Fc Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la shirikisho,katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. 
 Picha na habari zaidi zitawajia punde.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA KESHO NA BDF XI YA BOTSWANA JE WATAENDELEZA MWENDO WA KIBAJAJI?

Yanga wakipasha ya mwisho mwisho leo hii kabla ya kipute cha hiyo kesho Yanga wanaitaji draw tu kusonga mbele  kwenye mchezo huo wa kesho baada ya mchezo wao wa kwanza uliofanyika Tanzania kushinda bao 2-0. Na hata wakifungwa goli moja watakuwa wamepeta tu kiroho safi. Kocha wa Yanga akiteta na Nadir nahodha  wa timu wakiwa njiani kuelekea mazoezini kujiwenda na mshike mshike huo wa kesho.
Msemaji wa club Jerry Muro akipata ukodak wakati timu ikipiga jalamba.Hiki ni kiota walichofikia Yanga...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

 Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akiwatoka Mabeki wa Timu ya Mbeya City wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1. Picha na Othman Michuzi. Kiungo Mchezeshaji wa timu ya Yanga, Haroun Niyonzima akiangalia kwa kupeleka mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1.  Kipa wa Mbeya City, Hanington Kalyesubula akiangalia mpira wavuni huku...

 

11 years ago

Michuzi

YANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

 Mchezaji wa Yanga, Juma abdul akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Said Madega.

 Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi akimpiga chenga kipa wa Ruvu Shooting, Abdalah Ramadhan na kuipatia timu yake bao la 3 kwa timu yake.  Dogo huniwezi.................  Sasa naenda kufunga...... Golikipa wa Ruvu Shooting, Abdalah Ramadhani akiwa ameshika kiuno baada ya Okwi kupachia bao. Washambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi (kulia), na Hamis Kiiza wakishangilia moja ya magoli waliyoifungia timu...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1

 Simon Msuva (kushoto) akimkumbatia Mrisho Ngasa huku Danny Mrwanda. Kulia ni Danny Mrwanda baada ya kuifungia kimu yake bao la tatu ambapo Yanga ilishinda 3-1. (Picha zote na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akichuana na Damas Makwaya wa JKT Ruvu (kushoto), katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa leo.Msuva akimtoka beki wa JKT Ruvu, Mohamed Faki akiambaa na mpira. Mrisho Ngasa (kushoto) akichuana na Mohamed Faki.

BOFYA HAPA KUONA PICHA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani