Stars wakataa hoteli ya wenyeji wao Malawi
Siku zote maisha ya soka ni fitina barani Afrika. Maisha hayo yaliendelea juzi jioni jijini Blantyre baada ya maofisa wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiongozwa na mjumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ahmed Msafiri Mgoyi kugomea hoteli waliyoandaliwa na maofisa wa Malawi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Maswa wakataa viongozi wao
WANANCHI WA wa Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemkataa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo na Mwenyekiti wa Halmashauri, Stephen Dwese kwa madai ya kukwamisha maendeleo. Tukio hilo lilitokea...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station, mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja.
Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s72-c/unnamed+(14).jpg)
JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--erK5ZdVzYc/U1VmdgAeEnI/AAAAAAAFcM8/ZUHTx36PGhQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pykTzHSGnHU/U1VmdcD7PuI/AAAAAAAFcNE/U1jMY_FlxEA/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Stars yaitungua Malawi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilivuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Malawi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
9 years ago
Habarileo06 Oct
Stars, Malawi 5,000/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja viingilio vya kuiona timu ya Taifa, Taifa Stars, katika mchezo wa kesho dhidi ya Malawi wa kufuzu Kombe la Dunia huku kile cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
11 years ago
Mwananchi27 May
Stars yaivaa Malawi
9 years ago
Habarileo29 Sep
Stars ya kuivaa Malawi yatajwa
KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
11 years ago
Mwananchi25 May
Stars kuivaa tena Malawi