Stars ya kuivaa Malawi yatajwa
KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Stars kuivaa tena Malawi
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya kirafiki na timu ya Malawi ‘The Flames’ Jumanne jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini.
10 years ago
Vijimambo
STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR.
“Tunatambua umuhimu...
10 years ago
Habarileo28 Oct
Twiga Stars kuivaa Malawi Novemba 7 Dar
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuwa na pambano la kirafiki dhidi ya wenzao wa Malawi Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Stars kuivaa Algeria Novemba 14
Timu ya Taifa ya Tanzania itajitupa uwanja Novemba 14 kukipiga na timu ya taifa ya Algeria
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Stars maboresho kuivaa Rwanda
Stars maboresho itapambana na Rwanda katika mechi ya kirafiki itakayofanyika Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Twiga Stars kuivaa Zambia
>Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) leo ina kazi moja tu kusaka ushindi ili kuwapa raha Watanzania itakapokabiliana na Zambia (Shepolopolo)Â katika pambano la kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Afrika litakalopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL
Stars kamili kuivaa Benin kesho
Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose
KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Stars kuivaa Kenya nusu fainali
Ushujaa wa kipa namba moja wa Kilimanjaro Stars, Ivo Mapunda umeivua ubingwa Uganda na kuiingiza Stars nusu fainali ya Kombe la Chalenji
10 years ago
Vijimambo
MKWASA AITA 28 STARS KUIVAA ALGERIA

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania