Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars kuivaa Zambia

>Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) leo ina kazi moja tu kusaka ushindi ili kuwapa raha Watanzania itakapokabiliana na Zambia (Shepolopolo)  katika pambano la kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Afrika litakalopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA

Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia itakayochezwa keshokutwa (Ijumaa) jijini Lusaka.
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars kuivaa Malawi Novemba 7 Dar

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuwa na pambano la kirafiki dhidi ya wenzao wa Malawi Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars yafungwa Zambia

TIMU ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, juzi ilianza vibaya kampeni ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Afrika (AWC), baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Zambia ‘Shepolopolo’...

 

11 years ago

TheCitizen

Twiga Stars plot Zambia downfall

A daunting task awaits the national team, Twiga Stars, when they square off against Zambia’s Shepolopolo tomorrow in the first leg of the African Women Championship.

 

10 years ago

TheCitizen

Twiga Stars out to silence Zambia team

The national women’s soccer team, Twiga Stars, will be seeking a flying start when they take on Zambia’s Shepolopolo in the 2015 All-Africa Games qualifier at Nkoloma Stadium in Lusaka, Zambia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15

TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Twiga Stars kuelekea Zambia kesho

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake , inatarajiwa kuondoka nchini mwishoni mwa wiki hii kuelekea Zambia kwa mchezo .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars vs Zambia hakuna kiingilio

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema hakuna kiingilio katika mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC), itakayowakutanisha Twiga Stars na Zambia ‘Shepolopolo’ kwenye Uwanja wa Azam Complex...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani