Stars kamili kuivaa Benin kesho
![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlRVtZ-ITcwInKuoAvDVGmtWcCebI-geZ3*2FKT7ec9CQjAHn*igmCvcUDuEYdID6K0jdMgoMPpeZDSxia5VzNSg/stars.jpg)
Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Benin yaanika wakali kuivaa Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-4u*w5PSrO*jWnpCVnr8H5jGWVfZP4BIpsj6AY*Kf8EGJoQFfrWeKmfpM7ooA3F-JOWwAC3On-WsBbBLDYb5oA/YANGA.jpg?width=650)
YANGA KAMILI KUIVAA AL AHLY KESHO
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s72-c/A%2B3.png)
STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s640/A%2B3.png)
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR.
“Tunatambua umuhimu...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Azam kamili kuivaa Simba
WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.
10 years ago
GPL10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Stars yaizaba Benin 4-1
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana iliwapa raha wapenzi na mashabiki wa soka, baada ya kuitungua Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa Uwanja wa...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Stars yaifunza soka Benin
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Taifa Stars yaivaa Benin
10 years ago
StarTV13 Oct
Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.
TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.
Stars...