Taifa Stars yaivaa Benin
Timu yaTaifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itaikabili Benin katika mchezo wa kirafiki kimataifa utakaofanyia leo saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin




11 years ago
StarTV13 Oct
Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.
TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.
Stars...
11 years ago
Michuzi
26 WAITWA TAIFA STARS ITAKAYOIVAA BENIN

Kocha Mart Nooij ambaye yuko Cairo, Misri kwenye kongamano la makocha la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), amesema kikosi cha Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kitaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wachezaji walioitwa ni makipa...
11 years ago
Michuzi
TAIFA STARS, BENIN KUKIPIGA JIJINI DAR OKTOBA 12

Mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili jioni. Programu ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kwa ajili ya mechi hiyo itatangazwa baadaye na Kocha Mkuu Mart Nooij.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaendelea na taratibu nyingine kwa ajili ya mechi...
11 years ago
TheCitizen13 Oct
SOCCER:Clinical Taifa Stars hand Benin a hiding
11 years ago
Michuzi
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.



11 years ago
Mwananchi27 May
Stars yaivaa Malawi
11 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Stars yaizaba Benin 4-1
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana iliwapa raha wapenzi na mashabiki wa soka, baada ya kuitungua Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa Uwanja wa...