Stars yaivaa Malawi
Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’ inaivaa Malawi leo saa 11:00 jioni katika pambano la kirafiki la kimataifa litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Taifa Stars yaivaa Benin
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Stars yaitungua Malawi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilivuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Malawi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
9 years ago
Habarileo06 Oct
Stars, Malawi 5,000/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja viingilio vya kuiona timu ya Taifa, Taifa Stars, katika mchezo wa kesho dhidi ya Malawi wa kufuzu Kombe la Dunia huku kile cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
11 years ago
TheCitizen16 Apr
Stars line up Malawi warm-up
9 years ago
Habarileo09 Oct
Stars waenda Malawi leo
KIKOSI cha wachezaji 20 wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinaondoka leo kwenda Malawi kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya The Flames kwa ajili ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2018.
11 years ago
Mwananchi25 May
Stars kuivaa tena Malawi
9 years ago
Habarileo29 Sep
Stars ya kuivaa Malawi yatajwa
KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Stars inao uwezo wa kuiondoa Malawi
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s72-c/A%2B3.png)
STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s640/A%2B3.png)
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR.
“Tunatambua umuhimu...