Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars yaitungua Malawi

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilivuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Malawi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin

Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao nne timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin. Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo. Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao. Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa...

 

9 years ago

Habarileo

Stars, Malawi 5,000/-

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja viingilio vya kuiona timu ya Taifa, Taifa Stars, katika mchezo wa kesho dhidi ya Malawi wa kufuzu Kombe la Dunia huku kile cha chini kikiwa ni Sh 5,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yaivaa Malawi

Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’ inaivaa Malawi leo saa 11:00 jioni katika pambano la kirafiki la kimataifa litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Stars ya kuivaa Malawi yatajwa

KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.

 

11 years ago

TheCitizen

Stars line up Malawi warm-up

>Taifa Stars stand-in coach, Salum Madadi, can’t wait to lead the national soccer team out against The Flames of Malawi and Burundi’s Intamba Mu Rugamba later this month.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa tena Malawi

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya kirafiki na timu ya Malawi ‘The Flames’ Jumanne jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini.

 

9 years ago

Habarileo

Stars waenda Malawi leo

KIKOSI cha wachezaji 20 wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinaondoka leo kwenda Malawi kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya The Flames kwa ajili ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2018.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars inao uwezo wa kuiondoa Malawi

Timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ keshokutwa itakuwa na kibarua kigumu cha kwanza cha itakapoikabili Malawi ‘The Flames’ katika mechi ya kwanza kati ya mbili za kusaka tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.

 

9 years ago

Mtanzania

Wasomalia kuziamua Taifa Stars, Malawi

1264922_heroaNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

WAAMUZI kutoka nchini Somalia wamepangwa kuchezesha mechi ya hatua ya awali ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ na Malawi ‘The Flames’ utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam keshokutwa.

Mtandao wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kuhusu mchezo huo namba 13 kanda ya Afrika, umeonyesha kuwa mwamuzi wa kati atakayepuliza kipenga atakuwa ni Haji Wiish.

Mwamuzi msaidizi namba moja anatarajia kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani