Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars, Malawi 5,000/-

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja viingilio vya kuiona timu ya Taifa, Taifa Stars, katika mchezo wa kesho dhidi ya Malawi wa kufuzu Kombe la Dunia huku kile cha chini kikiwa ni Sh 5,000.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kiingilio cha Stars, Malawi ni Sh 5,000

Katika kile kinachoonekana kuwa  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesikia kilio cha wadau  wa soka nchini,  jana limetangaza kiingilio cha Sh 5000 kwa ajili ya kutazama mchezo kati ya Taifa Stars na Malawi utakaochezwa kesho.

 

9 years ago

Michuzi

KUZIONA TWIGA NA MALAWI 1,000/= TU

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza kiingilio cha shilingi Elfu moja (1,000)  ndio kitakachotumika kuingia kushuhudia mchezo wa kirafiki wa Kimataifa kati ya Timu ya Taifa Wanawake ‘Twiga Stars’ dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake Malawi utakaochezwa kesho Jumamosi, Novemba 7 katika uwanja wa Azam Chamazi.Twiga Stars inayonelewa na kocha mzawa Rogasian Kaijage iliingia kambini wiki iliyopita ambapo imekua ikifaya mazoezi kila siku katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yaitungua Malawi

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilivuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Malawi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yaivaa Malawi

Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’ inaivaa Malawi leo saa 11:00 jioni katika pambano la kirafiki la kimataifa litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Malawi floods displace 200,000

More than 170 people are killed and 200,000 displaced by torrential rain and flooding in Malawi.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa tena Malawi

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya kirafiki na timu ya Malawi ‘The Flames’ Jumanne jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini.

 

10 years ago

Habarileo

Stars ya kuivaa Malawi yatajwa

KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.

 

10 years ago

Habarileo

Stars waenda Malawi leo

KIKOSI cha wachezaji 20 wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinaondoka leo kwenda Malawi kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya The Flames kwa ajili ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2018.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani