Kiingilio cha Stars, Malawi ni Sh 5,000
Katika kile kinachoonekana kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesikia kilio cha wadau wa soka nchini, jana limetangaza kiingilio cha Sh 5000 kwa ajili ya kutazama mchezo kati ya Taifa Stars na Malawi utakaochezwa kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.

Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
11 years ago
Michuzi
MALAWI YAWASILI NCHINI TAYARI KWA MTANANGE DHIDI YA STARS, KIINGILIO NI BUKU 5 TU !

Flames ikiwa na msafara wa watu 31 imewasili jana (Mei 1 mwaka huu) saa 1 jioni kwa njia ya barabara, na imefikia hoteli ya Manyanya. Nayo Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ipo jijini Mbeya tangu Aprili 27 mwaka huu kujiandaa kwa mechi hiyo.
Kiingilio katika mechi hiyo kitakuwa sh....
10 years ago
Habarileo06 Oct
Stars, Malawi 5,000/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja viingilio vya kuiona timu ya Taifa, Taifa Stars, katika mchezo wa kesho dhidi ya Malawi wa kufuzu Kombe la Dunia huku kile cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
11 years ago
Michuzi.jpg)
ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-
.jpg)
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
11 years ago
Michuzi
KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-

Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ndiyo utakaokuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 9 kamili alasiri.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatoka Shelisheli. Mwamuzi wa kati ni Allister Barra wakati wasaidizi wake ni Gerard Pool na Jean Joseph Felix Ernest wakati mezani atakuwa...
11 years ago
GPLKIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Twiga Stars vs Zambia hakuna kiingilio
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema hakuna kiingilio katika mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC), itakayowakutanisha Twiga Stars na Zambia ‘Shepolopolo’ kwenye Uwanja wa Azam Complex...
9 years ago
Michuzi06 Nov
KUZIONA TWIGA NA MALAWI 1,000/= TU

11 years ago
Mwananchi27 May
Stars yaivaa Malawi