KIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-
Geilson Santana ‘Jaja’ akishangilia goli na wachezaji wenzake. Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akishangilia. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Oct
KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s72-c/download+(1).jpg)
ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5fiHedupc44/U8LF4Joc4sI/AAAAAAAF13k/H3M9zzplG0A/s72-c/download.jpg)
KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-5fiHedupc44/U8LF4Joc4sI/AAAAAAAF13k/H3M9zzplG0A/s1600/download.jpg)
Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ndiyo utakaokuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 9 kamili alasiri.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatoka Shelisheli. Mwamuzi wa kati ni Allister Barra wakati wasaidizi wake ni Gerard Pool na Jean Joseph Felix Ernest wakati mezani atakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!
![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
9 years ago
Michuzi25 Sep
HABARI TOKA TFF: KESHO YANGA NA SIMBA KIINGILIO KUANZIA BUKU SABA
![](http://tff.or.tz/images/derby.png)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...