VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania,Boniface Wambura akizungumza na wanahabari,wakati akitangaza viingilio na utaratibu wa kuingia uwanjani katika Mechi ya Watani wa Jadi,Simba na Yanga unaotaraji kuchezwa Oktoba 18,2014 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Picha na Othman Michuzi.
Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.
Washabiki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s72-c/68408-2.jpg)
VIINGILIO VYA KRISMASI VYATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s640/68408-2.jpg)
Tamasha hilo linalokwenda na shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 ambako kabla, Msama waliandaa tamasha la Kuombea Amani uchaguzi Mkuu lililofanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini ...
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MTANANGE WA YANGA NA SIMBA VIKOSI VYATAJWA
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Deogratius Munisi "Dida" Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro" Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Hassan Dilunga, Haruna Niyonzima, Genilson Santos "Jaja", Mrisho Ngasa, Andrey Coutinho.
BENCHI LA AKIBA
Juma Kaseja, Salum Telela, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Hamis Kiiza na Jerson Tegete.
KIKOSI CHA SIMBA
Manyika Peter, William Lucian, Mohamed Husseni, Hassan Shaka, Joseph Owino, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Elias Maguri, Amri Kiemba na Emanueli Okwi
10 years ago
Vijimambo14 Oct
VIINGILIO VYA SIMBA NA YANGA HIVI HAPA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-wKBlC6Sn0s/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Simba, Yanga katika mechi za visasi