VIINGILIO VYA KRISMASI VYATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s72-c/68408-2.jpg)
KAMPUNI ya Msama Promotions ambayo ni waandaaji wa Matamasha ya Pasaka na Krismasi, imetangaza viingilio vya juu kwenye Tamasha la Krismasi kuwa ni Shilingi 50,000 kwa viti maalum, Tamasha ambalo litafanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo linalokwenda na shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 ambako kabla, Msama waliandaa tamasha la Kuombea Amani uchaguzi Mkuu lililofanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...
11 years ago
Michuzi22 Apr
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Vyanzo vya migogoro hifadhini vyatajwa
MAENDELEO duni, uchu wa madaraka, mila potofu na usimamizi mbovu wa sheria kwa wananchi wanaoishi karibu na hifadhi za taifa, imetajwa kuwa ni kichocheo kikubwa cha migogoro kati ya Shirika...
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Viwango vya askari akiumia kazini vyatajwa
KIWANGO cha juu cha fidia kwa polisi aliyepoteza maisha akiwa kazini ni sh. milioni 15 wakati kiwango cha fidia kwa aliyeumia kazini ni kati ya sh. milioni moja na milioni tano.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, alisema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Saidi Zuberi (Fuoni-CCM), aliyetaka kujua viwango vya fidia kwa polisi wanaopoteza maisha wakiwa kazini na wanaoumia. Hata hivyo, Silima alisema viwango vinavyotolewa kwa polisi walioumia kazini...
9 years ago
StarTV19 Aug
Visima vya maji Iringa vyatajwa kusababisha vifo
Kukithiri kwa visima vya maji katika eneo la Changalawe mjini Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa kumetajwa kusababisha vifo visivyo vya lazima kwa wananchi kutokana na eneo hilo kutokuwa na huduma ya maji ya bomba.
Umuhimu wa huduma ya maji unawalazimu wakazi wa Changalawe kubuni njia mbadala ya kupata maji jirani kwa kuchimba visima nje ya nyumba zao jambo ambalo limetajwa kuhatarisha maisha mara kwa mara.
Baadhi ya visima hivyo vinaurefu zaidi ya futi 15 kwenda chini, jambo ambalo ni...
10 years ago
Vijimambo14 Oct
VIINGILIO VYA SIMBA NA YANGA HIVI HAPA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
10 years ago
GPLTFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-x9NKQKoqLX0/VJvY0ghBpaI/AAAAAAAAo0g/3_zDd0BomtM/s72-c/HappyChristmas2014.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mti wa Krismasi uliotengenezwa kwa visu, risasi, na viberiti vya kuwashia sigara