Vyanzo vya migogoro hifadhini vyatajwa
MAENDELEO duni, uchu wa madaraka, mila potofu na usimamizi mbovu wa sheria kwa wananchi wanaoishi karibu na hifadhi za taifa, imetajwa kuwa ni kichocheo kikubwa cha migogoro kati ya Shirika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s72-c/68408-2.jpg)
VIINGILIO VYA KRISMASI VYATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s640/68408-2.jpg)
Tamasha hilo linalokwenda na shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 ambako kabla, Msama waliandaa tamasha la Kuombea Amani uchaguzi Mkuu lililofanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini ...
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Viwango vya askari akiumia kazini vyatajwa
KIWANGO cha juu cha fidia kwa polisi aliyepoteza maisha akiwa kazini ni sh. milioni 15 wakati kiwango cha fidia kwa aliyeumia kazini ni kati ya sh. milioni moja na milioni tano.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, alisema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Saidi Zuberi (Fuoni-CCM), aliyetaka kujua viwango vya fidia kwa polisi wanaopoteza maisha wakiwa kazini na wanaoumia. Hata hivyo, Silima alisema viwango vinavyotolewa kwa polisi walioumia kazini...
9 years ago
StarTV19 Aug
Visima vya maji Iringa vyatajwa kusababisha vifo
Kukithiri kwa visima vya maji katika eneo la Changalawe mjini Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa kumetajwa kusababisha vifo visivyo vya lazima kwa wananchi kutokana na eneo hilo kutokuwa na huduma ya maji ya bomba.
Umuhimu wa huduma ya maji unawalazimu wakazi wa Changalawe kubuni njia mbadala ya kupata maji jirani kwa kuchimba visima nje ya nyumba zao jambo ambalo limetajwa kuhatarisha maisha mara kwa mara.
Baadhi ya visima hivyo vinaurefu zaidi ya futi 15 kwenda chini, jambo ambalo ni...
11 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
10 years ago
StarTV15 Jan
Wananchi wavamia vyanzo vya maji vya Milima ya Amani Tanga.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Wakati Serikali ikiwa imepiga marufuku uvunaji wa misitu na uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji vya milima ya Amani, jitihada hizo zimeonekana kugonga mwamba baada ya shughuli hizo kuanza tena kwa kasi.
Shughuli za madini na uvunaji wa mbao katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani Tanga huenda zikasababisha ukosefu wa maji kuendelea katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na jiji la Tanga kwa ujumla.
Maji ni uhai na pia ni muhimu kwa maisha ya kila...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s72-c/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s640/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s4wTb8103k8/VVlus-ncxNI/AAAAAAAAPk0/pP4kPZqI3ys/s640/DSCF5197%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GJ2i5UWB5Ug/VVlvIgBLNYI/AAAAAAAAPmI/t_NqPHCjtXU/s640/DSCF5247%2B(800x600).jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Vyanzo vya umaskini vyabainishwa
UMASIKINI nchini umelezwa kuchangiwa na ongezeko la ukatili wa kijinsia na bajeti ya taifa kutozingatia mahitaji ya kijinsia. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu wa Mafunzo ya Ushawishi na Utetezi katika...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
‘Uzembe, woga vyanzo vya umaskini’