Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s72-c/IMG_1393.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AKAGUA UJENZI WA MIRADI YA MAJI KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA, APIGA MARUFUKU UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s1600/IMG_1393.jpg)
10 years ago
StarTV15 Jan
Wananchi wavamia vyanzo vya maji vya Milima ya Amani Tanga.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Wakati Serikali ikiwa imepiga marufuku uvunaji wa misitu na uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji vya milima ya Amani, jitihada hizo zimeonekana kugonga mwamba baada ya shughuli hizo kuanza tena kwa kasi.
Shughuli za madini na uvunaji wa mbao katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani Tanga huenda zikasababisha ukosefu wa maji kuendelea katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na jiji la Tanga kwa ujumla.
Maji ni uhai na pia ni muhimu kwa maisha ya kila...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s72-c/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s640/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s4wTb8103k8/VVlus-ncxNI/AAAAAAAAPk0/pP4kPZqI3ys/s640/DSCF5197%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GJ2i5UWB5Ug/VVlvIgBLNYI/AAAAAAAAPmI/t_NqPHCjtXU/s640/DSCF5247%2B(800x600).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s72-c/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
CHAMA CHA WASAMBAZA MAJI NCHI (AWAC) CHAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI WA MAJI ILI KUJADILI NAMNA YA KULINDA NA KUVITUNZA VYANZO VYA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s640/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nYaTmOUEGwQ/VfpAQkKxCkI/AAAAAAABVRM/fjDpVwB1e74/s640/RC%2BDOM%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
11 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Hatimiliki zilinde vyanzo vya maji — DC
MKUU wa Wilaya (DC) ya Arumeru, Nyirembe Munasa, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auwsa) kuhakikisha inayawekea hatimiliki maeneo yote ya vyanzo vya maji yaliyopo wilayani hapa ili kuyalinda...
9 years ago
StarTV19 Aug
Visima vya maji Iringa vyatajwa kusababisha vifo
Kukithiri kwa visima vya maji katika eneo la Changalawe mjini Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa kumetajwa kusababisha vifo visivyo vya lazima kwa wananchi kutokana na eneo hilo kutokuwa na huduma ya maji ya bomba.
Umuhimu wa huduma ya maji unawalazimu wakazi wa Changalawe kubuni njia mbadala ya kupata maji jirani kwa kuchimba visima nje ya nyumba zao jambo ambalo limetajwa kuhatarisha maisha mara kwa mara.
Baadhi ya visima hivyo vinaurefu zaidi ya futi 15 kwenda chini, jambo ambalo ni...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Waliojenga vyanzo vya maji wapewa siku 21
MKUU wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesera ametoa siku 21 kwa watu wote waliojenga nyumba katika hifadhi au maeneo ya barabara na karibu na vyanzo vya maji, kubomoa kabla kazi hiyo haijafanywa na mamlaka zinazohusika.