VIINGILIO MECHI YA STARS NA BURUNDI VYATAJWA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s72-c/2.jpg)
VIINGILIO MECHI ZA TAIFA STARS SASA KARIBU NA BURE - MALINZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s1600/2.jpg)
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM JAMAL Malinzi, rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kwamba kuanzia sasa viingilio vya mechi za timu ya taifa, Taifa Stars kwa maeneo yasiyo ya VIP vitakuwa vya bei nafuu ili kutoa fursa kwa watu wengi kwenda kuishangilia timu hiyo.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Malinzi amesema kwamba wamejifunza hilo kutoka kwa Zimbabwe ambao kwenye mechi za timu ya taifa viingilio vya eneo la mzunguko huwa vya chini mno.
“Tumeona...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s72-c/68408-2.jpg)
VIINGILIO VYA KRISMASI VYATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jp3c93qSSEM/Vmbr1eGV8mI/AAAAAAADDXg/R5pvAOJSI9I/s640/68408-2.jpg)
Tamasha hilo linalokwenda na shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 ambako kabla, Msama waliandaa tamasha la Kuombea Amani uchaguzi Mkuu lililofanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini ...
11 years ago
GPLVIPAJI 36 VYATAJWA MABORESHO TAIFA STARS
Release No. 045
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Machi 17, 2014 Jopo wa wang’amuzi vipaji limetangaza majina ya wachezaji 36 waliopataikana katika mchakato wa maboresho ya Taifa Stars ulioshirikisha mechi za mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Salum Madadi amesema jopo hilo liling’amua vipaji 143 katika mchakato, lakini waliochukuliwa...
10 years ago
VijimamboMECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5
Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi
9 years ago
Habarileo03 Oct
Miamba minne yapisha mechi Stars
WAKATI miamba minne iliyo juu ya msimamo wa Ligi Kuu ikipumzika hadi Oktoba 17, mwaka huu kupisha maandalizi ya timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Ligi Kuu itaendelea leo na kesho kwa kuchezwa mechi tano.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w28RRVNBJdA/default.jpg)
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
SIMU.TV: Taifa Stars na Algeria wazichapa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ili kufuzu kuwania kombe la dunia; https://youtu.be/i5DZb0UDAZU SIMU.TV Mambo ya Samatta sio ya kitoto licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili za Taifa stars na timu ya Algeria; https://youtu.be/c6swRxcEjm8 SIMU.TV Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi ; https://youtu.be/_9xKvwLCrEg SIMU.TV Mgagaa na...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mechi ya lawama kwa Nooij, Stars
Dar es Salaam. Ni mtihani wa kwanza kwa kocha Martin Ignatius Nooij anapoanza safari ndefu na ngumu ya kulinda au kupoteza kibarua chake akiwa na kikosi cha Stars.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
MECHI:Samata aibeba Taifa Stars
Mshambuliaji kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata ameibuka shujaa baada ya kuifungia bao Taifa Stars ikilazimishwa sare 1-1 na Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania