VIPAJI 36 VYATAJWA MABORESHO TAIFA STARS
Release No. 045 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Machi 17, 2014 Jopo wa wang’amuzi vipaji limetangaza majina ya wachezaji 36 waliopataikana katika mchakato wa maboresho ya Taifa Stars ulioshirikisha mechi za mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar. Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Salum Madadi amesema jopo hilo liling’amua vipaji 143 katika mchakato, lakini waliochukuliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/ma.png?width=645)
TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bNsAjWc0rHA/VINQ5ztcQ0I/AAAAAAAG1pc/1rqFtL9MRTU/s72-c/Staz.jpg)
TAIFA STARS MABORESHO YAREJEA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bNsAjWc0rHA/VINQ5ztcQ0I/AAAAAAAG1pc/1rqFtL9MRTU/s1600/Staz.jpg)
Timu hiyo ambayo leo asubuhi imefanya mazoezi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa ndege ya Fastjet saa 12.30 jioni na kwenda moja kwa moja kambini hoteli ya Tansoma.
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kesho...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Makocha 40 wasaka vipaji Taifa Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeteua jopo la makocha wazawa 40 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar kung’amua vipaji katika mkakati wake wa kuboresha timu ya taifa, Taifa Stars....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/MML35sFfren0P0B3DI-KMHxNLZSnAHtiUllYwWUyUjNBdaUVr3kkjDA3b*UHbt9uD0Pi4ajz6pmYe3A9jbAwSWW4AObJZvLU/TAIFASTARS.jpg?width=650)
40 KUNG’AMUA VIPAJI UBORESHAJI TAIFA STARS
11 years ago
Michuzi22 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s72-c/TFF+Logo.jpg)
WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s1600/TFF+Logo.jpg)
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Stars maboresho kuivaa Rwanda