MECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5
Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi All African Stars wakipata picha ya pamoja.
Stars United wakipata picha ya pamoja.
Kifaa cha Stars United Elvis Mnyamuru akijaribu kumiliki mpira.
Mmoja ya wachezaji wa All African Stars ya Atlanta akiwa chini baada ya kuchezewa rafu huku wachezaji wa Stars United.
Mchezaji wa All African Stars (kulia) akijaribu kumtoka Edgar mmoja ya mchezaji wa Stars United
Mchezaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSTARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA
Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...
9 years ago
VijimamboSTARS UNITED YAFUNGWA 6-1 NA DURHAM ALL STARS
Timu ya Stars United inayoundwa na wachezaji mchanganyiko kutoka majimbo tofauti nchini Marekani ambao pia ndio mabigwa wa kombe la Afrika Mashariki, siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 ilipata kichapo cha goli 6-1 kutoka kwa timu inayoundwa na wachezaji mchanganyiko wa Durham, Durham All Stars katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa South Durham uliopo Durham, NC.
Katika...
9 years ago
VijimamboTANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Nyota Chelsea atumia dakika 9 kuiua Stars
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
NYOTA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Fiorentina, Mohamed Salah, alitumia dakika tisa juzi usiku kuiongoza timu yake ya Taifa ya Misri kuiua Taifa Stars mabao 3-0.
Stars iliweza kuhimili vishindo vya Misri kwa takribani dakika 60 za mwanzo za mchezo huo wa Kundi G, kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017 nchini Gabon.
Lakini Salah, aliyekuwa nyota wa mchezo huo, aliweza kupiga kona safi dakika ya 60 iliyozaa bao la kwanza lililofungwa na...
10 years ago
Mwananchi30 Mar
MECHI:Samata aibeba Taifa Stars
11 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mechi ya lawama kwa Nooij, Stars
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w28RRVNBJdA/default.jpg)
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
9 years ago
Habarileo03 Oct
Miamba minne yapisha mechi Stars
WAKATI miamba minne iliyo juu ya msimamo wa Ligi Kuu ikipumzika hadi Oktoba 17, mwaka huu kupisha maandalizi ya timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Ligi Kuu itaendelea leo na kesho kwa kuchezwa mechi tano.