Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS UNITED YAFUNGWA 6-1 NA DURHAM ALL STARS

 Manahodha wakipata picha na makocha. Timu ya Durham All Stars Timu ya Stars UnitedPicha ya timu zote mbili baada ya mechi
Timu ya Stars United inayoundwa na wachezaji mchanganyiko kutoka majimbo tofauti nchini Marekani ambao pia ndio mabigwa wa kombe la Afrika Mashariki, siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 ilipata kichapo cha goli 6-1 kutoka kwa timu inayoundwa na wachezaji mchanganyiko wa Durham, Durham All Stars katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa South Durham uliopo Durham, NC.

Katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA

 All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja.


Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua  zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5


 Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja. Kifaa cha Stars United Elvis Mnyamuru akijaribu kumiliki mpira. Mmoja ya wachezaji wa All African Stars ya Atlanta akiwa chini baada ya kuchezewa rafu huku wachezaji wa Stars United. Mchezaji wa All African Stars (kulia) akijaribu kumtoka Edgar mmoja ya mchezaji wa Stars United Mchezaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars yafungwa Zambia

TIMU ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, juzi ilianza vibaya kampeni ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Afrika (AWC), baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Zambia ‘Shepolopolo’...

 

10 years ago

GPL

TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0

Beki wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shomari Kapombe (kulia) akichuana na mchezaji wa Swaziland kwenye mchezo wao wa jana uliopigwa kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace katika michuano ya Cosafa inayoendelea huko Afrika Kusini. Stars ilifungwa bao 1-0. Straika wa Stars, John Bocco akiruka hewani kuwania mpira na mchezaji wa Swaziland.… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

MCHEZO WA KIRAFIKI: Taifa Stars yafungwa na Bafana Bafana

mkwasaserena

Kocha wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa

 

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyopo Afrika Kusini kwa kambi ajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kwenda kucheza kombe la dunia nchini Urusi jana imecheza mchezo wa kujipima uwezo na Bafana Bafana chini ya miaka 23.

Katika mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Eldorado uliopo Johannesburg, ilishuhudiwa Taifa Stars ikipokea kipigo cha goli 2 kwa bila.

Baada ya mchezo huo kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa alizungumza...

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED KUCHEZA NA VITAMBI FC MAY 30

Stars UnitedVitambi FC
Timu ya Stars United itacheza mechi ya kujipima nguvu na Vitambi FC siku ya Jumamosi May 30, 2015 katika uwanja wa Heurich anuani ni 6001 Ager Road, Hyattsville, MD 20781. Mechi ni ya maandalizi ya Vijimambo Soccer Tournament itakayofanyika Labor Day Weekend.
Stars United inatarajiwa kuelekea Atlanta, Georgia June 27, 2015 kucheza na Eritrea katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya ligi ndogo itakayofanyika DMV.
Mechi ya Vitambi FC itachezwa saa 9 kamili alasili siku...

 

10 years ago

Vijimambo

VITAMBI FC YAIFUNGA STARS UNITED 3-1


Satars United
Vitambi FC
 Nahodha wa timu ya Vitambi FC David (kushoto) akisalimiana na nahodha wa Stars United Dulla Ni hatari mpira golini kwa Vitambi FC. Mechi ikiendelea
 Mchezaji wa Vitambi FC akikkokota mpira kujaribu kuipita ngome ya Stars United Mchezaji Emmanuel wa Stars United akipiga pasi kwa mchezaji mwenzake Kheri Yahya huku mchezaji wa Vitambi FC akiangalia wasije wakaleta madhara. Mchezaji More akimiliki mpira. Mechi ilikua ya ushindani sana  Mchezaji Shabani akitoka nje baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

Mwananchi

Young Stars, Prisons usoni kwa JKT Stars, Savio

JKT Stars na Savio, leo zinatarajiwa kuwa na kibarua kigumu katika Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Azam RBA zitakapocheza na timu chipukizi za DB Young Stars na Tz-Prisons kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani