STARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA
All African Stars wakipata picha ya pamoja.
Stars United wakipata picha ya pamoja.
Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5
Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi
9 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Maguli-1.jpg)
STARS YATOKA SARE YA BAO 2-2 NA ALGERIA LEO TAIFA
9 years ago
VijimamboSTARS UNITED YAFUNGWA 6-1 NA DURHAM ALL STARS
Timu ya Stars United inayoundwa na wachezaji mchanganyiko kutoka majimbo tofauti nchini Marekani ambao pia ndio mabigwa wa kombe la Afrika Mashariki, siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 ilipata kichapo cha goli 6-1 kutoka kwa timu inayoundwa na wachezaji mchanganyiko wa Durham, Durham All Stars katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa South Durham uliopo Durham, NC.
Katika...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Simba yalazimishwa sare
Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)
Na Mwandishi wetu
TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uuReDbJrg0s/VZgewh7j5II/AAAAAAABkOQ/Nldp6fS8gYU/s72-c/Kikosi%2Bcha%2BStars%2Bkilichoanza%2Bleo%2Bdhidi%2Bya%2BUganda.jpg)
STARS NA UGANDA ZATOKA SARE 1-1 NAKIVUBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uuReDbJrg0s/VZgewh7j5II/AAAAAAABkOQ/Nldp6fS8gYU/s640/Kikosi%2Bcha%2BStars%2Bkilichoanza%2Bleo%2Bdhidi%2Bya%2BUganda.jpg)
Na Baraka Kizuguto, KAMPALATANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’...
11 years ago
MichuziTAIFA STARS YATOKA SARE NA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rl2Xj7ubZAA/U8vri_U6qXI/AAAAAAABDu8/65qx-1LG4x8/s1600/3m.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0XFYoLx4xfs/U8vugvbIsLI/AAAAAAABDv8/iR391BVN1Js/s1600/10s.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jA7rw-iVOVs/U8vrm2CVgtI/AAAAAAABDvg/6uuy3d0iZJQ/s1600/s7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FAalECGdHVM/U8vq4l7BjrI/AAAAAAABDuo/yLpiy2LR4O8/s1600/Pix-3.jpg)
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Msumbiji, Zainadine Junior katika mchezo...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Kocha Nigeria afurahia sare na Stars
*Akiri mambo yalikua magumu upande wao
*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.
Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Taifa Stars yapata sare Namibia
10 years ago
Vijimambo29 Mar
Samatta aibeba Stars ikitoka sare na Malawi 1-1
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/samattagoal.jpg)
Bao la Stars limefungwa na Mbwana Samatta akisawazisha bao baada ya kupokea pasi safi ya Ngassa kunako dakika ya 76.Malawi walipata bao katika dakika ya 4 kupitia kwa Esau Kanyenda kufatia mpira wa Kona baada ya Kipa Mwadini Ally akapangu mpra na kuangukia miguuni mwa mchezaji wa Malawi ambaye hakufanya makosa .
Katika...