STARS YATOKA SARE YA BAO 2-2 NA ALGERIA LEO TAIFA

Wachezaji wa Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakishangilia moja ya bao. Mashabiki wakishangilia. Mbwana Samatta akishangilia goli lake alilofunga dhidi ya Algeria. Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeeshindwa kuchomoza na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana magoli 2-2 dhidi ya timu ya taifa ya Algeria kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania nafasi ya kupangwa kwenye makundi kwa ajili ya kuwania...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO

11 years ago
MichuziTAIFA STARS YATOKA SARE NA MSUMBIJI




Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Msumbiji, Zainadine Junior katika mchezo...
11 years ago
MichuziSIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO
9 years ago
Michuzi
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA ALGERIA KWA BAO 2-2


9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Taifa Stars yabanwa na Algeria, yatoa sare ya 2-2!
kikosi cha Taifa Stars
Na Rabi Hume
Mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza kombe la dunia 2018 kati ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars na timu ya Taifa ya Algeria na mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 2 kwa 2.
Mchezo huo ambao kwa dakika zote 90 ulionekana kutawaliwa na Tanzania ambao katika mchezo wa leo wanaonekana kucheza vizuri tofauti na michezo iliyopita.
Magoli ya Tanzania katika mchezo huo yalipatikana katika dakika ya 43 kupitia kwa Elias Maguli na goli la pili...
11 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin




10 years ago
VijimamboSTARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA
Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA