SPORT NEWS: Taifa Stars yabanwa na Algeria, yatoa sare ya 2-2!
kikosi cha Taifa Stars
Na Rabi Hume
Mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza kombe la dunia 2018 kati ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars na timu ya Taifa ya Algeria na mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 2 kwa 2.
Mchezo huo ambao kwa dakika zote 90 ulionekana kutawaliwa na Tanzania ambao katika mchezo wa leo wanaonekana kucheza vizuri tofauti na michezo iliyopita.
Magoli ya Tanzania katika mchezo huo yalipatikana katika dakika ya 43 kupitia kwa Elias Maguli na goli la pili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Maguli-1.jpg)
STARS YATOKA SARE YA BAO 2-2 NA ALGERIA LEO TAIFA
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Rais Magufuli kuikosa Stars na Algeria, ahudhuria kwenye mazishi ya mjukuu wake!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Mjukuu wa Mhe Rais John Magufuli, marehemu Maryfaustna Mlyambina, wakati wa shughuli za kuaga zilizofanyika Kimara jijini Dar es Dalaam jana.
Na Rabi Hume
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dkt. John Magufuli ambaye angekuwa mgeni rasmi katika mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Algeria ameshindwa kuhudhuria mchezo huo kutokana na msiba alioupata wa mjukuu wake.
Mchezo...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Taifa Stars yapata sare Namibia
11 years ago
MichuziTAIFA STARS YATOKA SARE NA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rl2Xj7ubZAA/U8vri_U6qXI/AAAAAAABDu8/65qx-1LG4x8/s1600/3m.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0XFYoLx4xfs/U8vugvbIsLI/AAAAAAABDv8/iR391BVN1Js/s1600/10s.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jA7rw-iVOVs/U8vrm2CVgtI/AAAAAAABDvg/6uuy3d0iZJQ/s1600/s7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FAalECGdHVM/U8vq4l7BjrI/AAAAAAABDuo/yLpiy2LR4O8/s1600/Pix-3.jpg)
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Msumbiji, Zainadine Junior katika mchezo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Taifa Stars yaitesa Algeria
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER
WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...
9 years ago
Habarileo20 Oct
Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo
TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w28RRVNBJdA/default.jpg)
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HgqWNXzbnNA/VZgpFgQ1z6I/AAAAAAAHm5s/qMoq0ZOoC2g/s72-c/Kikosi-cha-Taifa-Stars1.jpg)
TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HgqWNXzbnNA/VZgpFgQ1z6I/AAAAAAAHm5s/qMoq0ZOoC2g/s640/Kikosi-cha-Taifa-Stars1.jpg)