SPORT NEWS: Rais Magufuli kuikosa Stars na Algeria, ahudhuria kwenye mazishi ya mjukuu wake!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Mjukuu wa Mhe Rais John Magufuli, marehemu Maryfaustna Mlyambina, wakati wa shughuli za kuaga zilizofanyika Kimara jijini Dar es Dalaam jana.
Na Rabi Hume
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dkt. John Magufuli ambaye angekuwa mgeni rasmi katika mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Algeria ameshindwa kuhudhuria mchezo huo kutokana na msiba alioupata wa mjukuu wake.
Mchezo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Taifa Stars yabanwa na Algeria, yatoa sare ya 2-2!
kikosi cha Taifa Stars
Na Rabi Hume
Mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza kombe la dunia 2018 kati ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars na timu ya Taifa ya Algeria na mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 2 kwa 2.
Mchezo huo ambao kwa dakika zote 90 ulionekana kutawaliwa na Tanzania ambao katika mchezo wa leo wanaonekana kucheza vizuri tofauti na michezo iliyopita.
Magoli ya Tanzania katika mchezo huo yalipatikana katika dakika ya 43 kupitia kwa Elias Maguli na goli la pili...
10 years ago
GPL
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA

.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu ashiriki msiba wa mjukuu Rais Dk. Magufuli!
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015. Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani Mwanza kwa maziko. Picha na OMR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za...
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO ADAIWA KUZAMA KWENYE PENZI LA MJUKUU WAKE
9 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU ASHIRIKI MSIBA WA MJUKUU WA RAIS MAGUFULI


9 years ago
Mtanzania12 Nov
Magufuli kuiona Stars, Algeria
*Mecky Sadiki amwalika Kikwete
*Algeria yapata pigo jingine
THERESIA GASPER NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mchezo huo utakuwa wa kwanza kuhudhuriwa na Rais huyo mpya tangu...
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI, DAR ES SALAAM

