Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SPORT NEWS: Rais Magufuli kuikosa Stars na Algeria, ahudhuria kwenye mazishi ya mjukuu wake!

7

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Mjukuu wa Mhe Rais John Magufuli, marehemu Maryfaustna Mlyambina, wakati wa shughuli za kuaga zilizofanyika Kimara jijini Dar es Dalaam jana.

Na Rabi Hume

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dkt. John Magufuli ambaye angekuwa mgeni rasmi katika mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Algeria ameshindwa kuhudhuria mchezo huo kutokana na msiba alioupata wa mjukuu wake.

Mchezo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: Taifa Stars yabanwa na Algeria, yatoa sare ya 2-2!

TAIFA STARSkikosi cha  Taifa Stars

Na Rabi Hume

Mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza kombe la dunia 2018 kati ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars na timu ya Taifa ya Algeria na mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 2 kwa 2.

Mchezo huo ambao kwa dakika zote 90 ulionekana kutawaliwa na Tanzania ambao katika mchezo wa leo wanaonekana kucheza vizuri tofauti na michezo iliyopita.

Magoli ya Tanzania katika mchezo huo yalipatikana katika dakika ya 43 kupitia kwa Elias Maguli na goli la pili...

 

10 years ago

GPL

DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA

Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.…

 

10 years ago

Michuzi

DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA

Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli yupo nchini Kenya akiiwakilisha Tanzania kwenye mazishi ya mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga aliefariki mwishoni mwa wiki iliyopita,yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya. Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu ashiriki msiba wa mjukuu Rais Dk. Magufuli!

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015. Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani Mwanza kwa maziko. Picha na OMR.

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za...

 

10 years ago

GPL

MZEE MAJUTO ADAIWA KUZAMA KWENYE PENZI LA MJUKUU WAKE

MUSA MATEJA
IMEKAAJE? Komediani kipenzi cha wengi Bongo, Majuto Athuman ‘Mzee Majuto’, anadaiwa kuzama kwa mara nyingine kwenye penzi la msichana mbichi anayekadiriwa kuwa na umri sawa na mjuu wake. Komediani kipenzi cha wengi Bongo, Majuto Athuman ‘Mzee Majuto’. TUJIUNGE NA MKE WA MZEE MAJUTO Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, mke wa Mzee Majuto aitwaye Aisha Yusuf alikiri kuwa...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU ASHIRIKI MSIBA WA MJUKUU WA RAIS MAGUFULI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015. Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani Mwanza kwa maziko.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli kuiona Stars, Algeria

DSC_0277*Mecky Sadiki amwalika Kikwete

*Algeria yapata pigo jingine

THERESIA GASPER NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mchezo huo utakuwa wa kwanza kuhudhuriwa na Rais huyo mpya tangu...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI JIJINI DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, Mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko Kimara King'ongo jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakijumuika na waomboilezaji wengine katika mazishi ya Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI, DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zamwisho kwa mwili wa Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, Mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko Kimara King'ongo jijini Dar es salaam.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakijumuika nawaomboilezaji wengine katika mazishi ya Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko Kimara King'ongo jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani