RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*b*son7d2W8OV7BomdvWmOeQT4t0*a6bf9IJcBXvZDDvwSU1HCuuz1gPN*uenU5d7VT6956XU7xUBO4R7Y2r18K/RAISKIKWETEMSIBANI1.jpg?width=650)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, Mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko Kimara King'ongo jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakijumuika na waomboilezaji wengine katika mazishi ya Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KsZwWCa21EM/VNYk10HkauI/AAAAAAADXv4/twyxy6Ht_I4/s72-c/0L7C3535.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-KsZwWCa21EM/VNYk10HkauI/AAAAAAADXv4/twyxy6Ht_I4/s1600/0L7C3535.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2u7-eogWF4s/VNYk2EQykDI/AAAAAAADXwE/l_KJ3vaQYrY/s1600/0L7C3614.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
MC Mkongwe ampongeza Jaji Augustino Ramadhani
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Mackie G. Mdachi ‘MC Mkongwe’ amempongeza Mwanafani mwenzao Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0049.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200430-WA0049.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
10 years ago
VijimamboRAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.
5 years ago
MichuziHistoria Fupi ya Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani
Na Alban AbdallahKwa masikitiko makubwa sana, tumepata taarifa ya msiba wa Kaka wa makaka, Retired Chief Justice, Brigadier general, the most famous Zanzibarian Christian in the Tanzanian Government History, Reverend Cannon, father, son, friend, and national hero, Augustino Ramadhani. Tunataka kutowa pole kwa mkewe, wanawe, wajukuu, na family ya Ramadhani nzima. This is a monumental loss.
Kwa niaba ya familia yangu, nataka kumzungumzia Justice Augustino Ramadhani kama nilivomfahamu mimi....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)
JAJI MKUU MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KUZIKWA JUMAMOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s400/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)