Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9CAnKjexaVk/Xqfs2HWYq5I/AAAAAAAC4GU/3J-GbHnKlMIqeJ3xeFtv3uZ6-cxxjumRQCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeimoV0jObc4t5gbqdCcQGwWDvUc7a2RCYfsIlZx-38HS4az1ZlS8VdHx3pQtTF4oVzCPxcVbY0PaNM4ZVzbEhT/1jajilewis.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA JAJI LEWIS MAKAME
Marehemu Jaji Mstaafu, Lewis Makame enzi za uhai wake. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe...
5 years ago
CCM Blog9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s72-c/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Askofu Nkalanga
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
Simu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga...
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s1600/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Simu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RisAk2hnfVI/Xql81Vkb3TI/AAAAAAALokQ/GfwF6Q15t0QdRzgS4E_NSC7b_rPARY4MACLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli_2.jpg)
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge Mhe. Ndassa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RisAk2hnfVI/Xql81Vkb3TI/AAAAAAALokQ/GfwF6Q15t0QdRzgS4E_NSC7b_rPARY4MACLcBGAsYHQ/s640/magufuli_2.jpg)
Mhe. Ndassa amefariki dunia ghafla leo tarehe 29 Aprili, 2020 Jijini Dodoma.Mhe. Rais Magufuli amesema “Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha ghafla cha Mhe. Ndassa, nakumbuka mimi na yeye tulianza...
10 years ago
Michuzi17 Jun
RAIS MSTAAFU MHE. BENJAMIN WILLIAM MKAPA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa atuma salamu za Rambirambi kwa BAKWATA kufuatia kifo cha Mufti Issa Bin Shaaban Simba. Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa, amemtumia Kaimu Mufti wa Tanzania, salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mufti Issa Bin Shaaban Simba kilichotokea Jumatatu katika hospitali ya TMJ. Katika salamu zake Mhe. Mkapa ameelezea kushtushwa kwake na kifo cha Mufti Simba ambae amemuelea kama kiongozi “aliyekuwa muadilivu,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s72-c/LewisJaji.jpg)
Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame
![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s1600/LewisJaji.jpg)
Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z3BWMoplk5QOQWHysa-Bb38l9rnz9e7TPgGkSNxogXGybgR9UfdUGQ1jj-xSGx0XTKaMK6ZSJR7b1YeGNFpJZl*DG-GV3tde/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu
Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba. Marehemu Mufti amefariki leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo la damu (pressure). "Kifo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania