SIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s72-c/DSCN3007.jpg)
Survey Veterani yatoka sare na Coastal union U-20, yawakubali NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s1600/DSCN3007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2yJMUoo53Co/U-t35mEFoRI/AAAAAAABFJk/XVf1mPCAiw0/s1600/DSCN3011_1.jpg)
pamoja Wachezaji wa Coastal U 20 kabla ya mechi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-htrLYkOUk2U/U-t3655mi_I/AAAAAAABFJo/Y9S95xDG3tk/s1600/DSCN3016.jpg)
akimtoka mchezaji wa Coastal Union U 20 katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga.
NA ELIZABETH KILINDI, TANGA
TIMU ya Survey Veteran ya jijini Dar es Salaamu, Jumapili iliyopita ilivuna sare ya bao 1-1 dhidi ya kikosi cha vijana wa chini...
10 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9Wt3xesNW3g/VieCmjLSacI/AAAAAAABKZk/siREYmzlVBM/s72-c/COAST%2BLOGO.jpg)
KAMATI YA UTENDAJI YA COASTAL UNION,SASA YATOKA NA MAAMUZI MAZITO”
![](http://4.bp.blogspot.com/-9Wt3xesNW3g/VieCmjLSacI/AAAAAAABKZk/siREYmzlVBM/s320/COAST%2BLOGO.jpg)
KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa mwenendo wa matokeo mazuri kwa timu hiyo tokea alipokabidhiwa.
Kocha Mayanja alikabidhiwa kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya baada ya kumalizika msimu wa ligi kuu uliopita akichukua mikoba ya Jamhuri Kihwelu “Julio” ambaye aliinusuru timu hiyo na kushuka daraja ikimaliza ikiwa nafasi tano za juu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7Eo5ne5Lu8/VnbVkFnBkgI/AAAAAAABl4o/LactEJZxKjw/s640/_MG_2536.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8fvMp-o_HI/VnbVrJRrevI/AAAAAAABl40/_V9_tvHa8Uw/s640/_MG_2588.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSVt7Sz3sH8/VnbVuzrvXvI/AAAAAAABl48/1pyov-Hr4xI/s640/_MG_2620.jpg)
11 years ago
MichuziTAIFA STARS YATOKA SARE NA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rl2Xj7ubZAA/U8vri_U6qXI/AAAAAAABDu8/65qx-1LG4x8/s1600/3m.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0XFYoLx4xfs/U8vugvbIsLI/AAAAAAABDv8/iR391BVN1Js/s1600/10s.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jA7rw-iVOVs/U8vrm2CVgtI/AAAAAAABDvg/6uuy3d0iZJQ/s1600/s7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FAalECGdHVM/U8vq4l7BjrI/AAAAAAABDuo/yLpiy2LR4O8/s1600/Pix-3.jpg)
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Msumbiji, Zainadine Junior katika mchezo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania