Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMATI YA UTENDAJI YA COASTAL UNION,SASA YATOKA NA MAAMUZI MAZITO”




KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa mwenendo wa matokeo mazuri kwa timu hiyo tokea alipokabidhiwa. 
Kocha Mayanja alikabidhiwa kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya baada ya kumalizika msimu wa ligi kuu uliopita akichukua mikoba ya Jamhuri Kihwelu “Julio” ambaye aliinusuru timu hiyo na kushuka daraja ikimaliza ikiwa nafasi tano za juu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA

Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…

 

10 years ago

Michuzi

Survey Veterani yatoka sare na Coastal union U-20, yawakubali NSSF


 Kikosi cha Timu Ya Survey wakiwa katika picha ya pamoja. Wachezaji wa Survey Veterani wakiwa katika picha ya
pamoja Wachezaji wa Coastal U 20  kabla ya mechi.
Mchezaji wa Timu ya Survey Veterani Hamad Shaweji
akimtoka mchezaji wa Coastal Union U 20  katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga.

NA ELIZABETH KILINDI, TANGA
TIMU ya Survey Veteran ya jijini Dar es Salaamu, Jumapili iliyopita ilivuna sare ya bao 1-1 dhidi ya kikosi cha vijana wa chini...

 

10 years ago

Michuzi

“KAMATI YA ULINZI YA COASTAL UNION YATISHWA MZIGO MZITO”

1Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Dr.Ahmed Twaha katikati akifuatilia mkutano wake na kamati ndogo ndogo za klabu hiyo uliofanyika jana,kulia ni Katibu Mkuu wa Coastal Union,Kassim El Siagi, 2 3Mwenyekiti wa Cpastal Union akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Mipango na Fedha mara baada ya kumalizika kikao hicho.………………………………………………………………………….
UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union umeitaka kamati ya ulinzi na usalama kuhakikisha inatimiza wajibu wake ipasavyo ikiwemo kuhakikisha vitendo...

 

10 years ago

Habarileo

JK aahidi maamuzi mazito maabara za masomo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amesema atafanya maamuzi mazito Novemba mwaka huu kwa viongozi ambao watashindwa kutekeleza agizo lake la ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya maabara tatu za masomo ya sayansi kwa kila shule ya sekondari.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI ya Utendaji yaTFF imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi

KAMATI  ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi ili kusimamia utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa vituo vya michezo vya Kigamboni, Dar es Salaam na Tanga.
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan, na...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2

Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akiifungia timu yake bao la pili wakati timu hiyo ilipopambana na Coast Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coast Union, Abdallah Mfuko.Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akiruka daruga la beki wa Coast Union. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Habarileo

Coastal Union yazama 1-0

TIMU ya soka ya Coastal Union ya Tanga jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa Mkwakwani baada ya kufungwa bao 1-0 na Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Septemba 12, mwaka huu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji

S1

Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku.   Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda.  Shenda ni moja kati ya vijiji...

 

10 years ago

TheCitizen

Cannavaro aizamisha Coastal Union

Bao la nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’ limetosha kuiweka Yanga kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya kwanza mwaka huu wakichapa Coastal Union 1-0 kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani