“KAMATI YA ULINZI YA COASTAL UNION YATISHWA MZIGO MZITO”
Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Dr.Ahmed Twaha katikati akifuatilia mkutano wake na kamati ndogo ndogo za klabu hiyo uliofanyika jana,kulia ni Katibu Mkuu wa Coastal Union,Kassim El Siagi,
Mwenyekiti wa Cpastal Union akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Mipango na Fedha mara baada ya kumalizika kikao hicho.………………………………………………………………………….
UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union umeitaka kamati ya ulinzi na usalama kuhakikisha inatimiza wajibu wake ipasavyo ikiwemo kuhakikisha vitendo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9Wt3xesNW3g/VieCmjLSacI/AAAAAAABKZk/siREYmzlVBM/s72-c/COAST%2BLOGO.jpg)
KAMATI YA UTENDAJI YA COASTAL UNION,SASA YATOKA NA MAAMUZI MAZITO”
![](http://4.bp.blogspot.com/-9Wt3xesNW3g/VieCmjLSacI/AAAAAAABKZk/siREYmzlVBM/s320/COAST%2BLOGO.jpg)
KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa mwenendo wa matokeo mazuri kwa timu hiyo tokea alipokabidhiwa.
Kocha Mayanja alikabidhiwa kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya baada ya kumalizika msimu wa ligi kuu uliopita akichukua mikoba ya Jamhuri Kihwelu “Julio” ambaye aliinusuru timu hiyo na kushuka daraja ikimaliza ikiwa nafasi tano za juu...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Evans Aveva abebeshwa mzigo mzito
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Profesa Mahalu: Nimetua mzigo mzito
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E0bjGpcTv_E/U3Lrt7p1sDI/AAAAAAAFhe8/NsZ6q3Etiqw/s72-c/588324.jpg)
MZIGO MZITO ULIOMSHINDA KOFI ANNAN WAMSHINDA BRAHIMI
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Kova kuweka ulinzi mzito mkesha wa mwaka mpya
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Coastal Union yazama 1-0
TIMU ya soka ya Coastal Union ya Tanga jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa Mkwakwani baada ya kufungwa bao 1-0 na Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Septemba 12, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Coastal Union ipo imara
10 years ago
TheCitizen05 Feb
Cannavaro aizamisha Coastal Union
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Coastal Union yamfungia Banda