Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZIGO MZITO ULIOMSHINDA KOFI ANNAN WAMSHINDA BRAHIMI

Na Mwandishi Maalum   Ban Ki Moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kwa masikitiko makubwa ametangaza kukubali kwake kujiuzuru kwa mwakilishi maalum wa Umoja wa mataifa  na Muungano wa nchi za Kiarabu, Lakhdar Brahimi aliyekuwa akisimamia mazungumzo ya kutafuta Amani nchini Syria. Akitangaza mbele ya waandishi wa habari kuhusu kujiuzulu kwa Bw. Brahimi ambaye pia alikuwapo kwenye mkutano huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema mwanadiplomasia huyo mzoefu ataachia wadhifa wake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kofi Annan amtaka Nkurunziza kujiuzulu

Aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Koffi Annan amemtaka rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kujiuzulu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kofi Annan atua Cuba kutatua migogoro

Katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Kofi Annan amewasili nchini Cuba kuhamasisha mazungumzo ya amani.

 

11 years ago

Dewji Blog

Uporaji wa sekta za mbao na uvuvi unaizuia Afrika isiendelee — Kofi Annan

kofi-annan

Kofi Annan, Chair of the Africa Progress Panel.

Ripoti ya Jopo la Maendeleo ya Afrika ya mwaka huu inawahimiza viongozi wa Afrika kupambana na ukosefu wa usawa na kuitaka jamii ya ulimwengu kukabiliana na uporaji wa rasilimali za bara hili.

Rasilimali za Afrika zenye utajiri mwingi zinatoa nafasi ya kipekee ya ufanisi katika uimarishaji wa maisha ya raia wa Afrika, yasema ripoti mpya kubwa iliyozinduliwa leo na Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, lakini mara nyingi sana...

 

11 years ago

Michuzi

Uporaji wa sekta za mbao na uvuvi unaizuia Afrika isiendelee - Kofi Annan

ABUJA, Nigeria, May 8, 2014/ -- Rasilimali za Afrika zenye utajiri mwingi zinatoa nafasi ya kipekee ya ufanisi katika uimarishaji wa maisha ya raia wa Afrika, yasema ripoti mpya kubwa iliyozinduliwa leo na Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, lakini mara nyingi sana rasilimali hizi huporwa na maafisa wafisadi pamoja na wawekezaji wa kigeni. Aidha, Ripoti hii inaonyesha kwamba kuongezeka kwa ukosefu wa usawa vilevile kunaizuia Afrika isiikamate nafasi hii ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kofi Annan and other Panel Members to launch 2014 Africa Progress Report — Grain, Fish, Money

app

The Africa Progress Panel will release its annual Africa Progress Report at the World Economic Forum on Africa held in Abuja, Nigeria

On Thursday, May 8th 2014, the Africa Progress Panel (http://www.africaprogresspanel.org) will release its annual Africa Progress Report – Grain, Fish, Money – Financing Africa’s Green and Blue revolutions, at the World Economic Forum on Africa held in Abuja, Nigeria.

Chaired by former UN Secretary-General, Kofi Annan, last year’s report Equity in...

 

10 years ago

Mwananchi

Evans Aveva abebeshwa mzigo mzito

Baada ya kuendelea na matokeo ya sare katika mechi ya raundi ya sita ya Ligi Kuu, wachezaji wa Simba wamechoshwa na sare hizo hivyo kumtaka rais wao Evans Aveva kumaliza matatizo yaliyopo ndani ya klabu hiyo wakidai ndiyo yanayowaumiza.

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Mahalu: Nimetua mzigo mzito

>Huwezi kuzungumzia mafanikio ya Bunge Maalumu la Katiba bila kumtaja aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kupitia Kanuni za Uendeshaji wake, Profesa Costa Mahalu.

 

10 years ago

Michuzi

“KAMATI YA ULINZI YA COASTAL UNION YATISHWA MZIGO MZITO”

1Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Dr.Ahmed Twaha katikati akifuatilia mkutano wake na kamati ndogo ndogo za klabu hiyo uliofanyika jana,kulia ni Katibu Mkuu wa Coastal Union,Kassim El Siagi, 2 3Mwenyekiti wa Cpastal Union akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Mipango na Fedha mara baada ya kumalizika kikao hicho.………………………………………………………………………….
UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union umeitaka kamati ya ulinzi na usalama kuhakikisha inatimiza wajibu wake ipasavyo ikiwemo kuhakikisha vitendo...

 

11 years ago

GPL

MSOSI WA KIGENI WAMSHINDA RAY

Stori: Hamida Hasan
MASHOKOLO mageni! Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na msosi wenye asili ya kigeni na kushindwa ‘kuusosomola’. Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray Tukio hilo lililopigwa chabo na mwanahabari wetu na kuibua hamasa kwa mashuhuda lilitokea juzikati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani