Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kofi Annan atua Cuba kutatua migogoro

Katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Kofi Annan amewasili nchini Cuba kuhamasisha mazungumzo ya amani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kofi Annan amtaka Nkurunziza kujiuzulu

Aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Koffi Annan amemtaka rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kujiuzulu

 

11 years ago

Michuzi

MZIGO MZITO ULIOMSHINDA KOFI ANNAN WAMSHINDA BRAHIMI

Na Mwandishi Maalum   Ban Ki Moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kwa masikitiko makubwa ametangaza kukubali kwake kujiuzuru kwa mwakilishi maalum wa Umoja wa mataifa  na Muungano wa nchi za Kiarabu, Lakhdar Brahimi aliyekuwa akisimamia mazungumzo ya kutafuta Amani nchini Syria. Akitangaza mbele ya waandishi wa habari kuhusu kujiuzulu kwa Bw. Brahimi ambaye pia alikuwapo kwenye mkutano huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema mwanadiplomasia huyo mzoefu ataachia wadhifa wake...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uporaji wa sekta za mbao na uvuvi unaizuia Afrika isiendelee — Kofi Annan

kofi-annan

Kofi Annan, Chair of the Africa Progress Panel.

Ripoti ya Jopo la Maendeleo ya Afrika ya mwaka huu inawahimiza viongozi wa Afrika kupambana na ukosefu wa usawa na kuitaka jamii ya ulimwengu kukabiliana na uporaji wa rasilimali za bara hili.

Rasilimali za Afrika zenye utajiri mwingi zinatoa nafasi ya kipekee ya ufanisi katika uimarishaji wa maisha ya raia wa Afrika, yasema ripoti mpya kubwa iliyozinduliwa leo na Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, lakini mara nyingi sana...

 

11 years ago

Michuzi

Uporaji wa sekta za mbao na uvuvi unaizuia Afrika isiendelee - Kofi Annan

ABUJA, Nigeria, May 8, 2014/ -- Rasilimali za Afrika zenye utajiri mwingi zinatoa nafasi ya kipekee ya ufanisi katika uimarishaji wa maisha ya raia wa Afrika, yasema ripoti mpya kubwa iliyozinduliwa leo na Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, lakini mara nyingi sana rasilimali hizi huporwa na maafisa wafisadi pamoja na wawekezaji wa kigeni. Aidha, Ripoti hii inaonyesha kwamba kuongezeka kwa ukosefu wa usawa vilevile kunaizuia Afrika isiikamate nafasi hii ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kofi Annan and other Panel Members to launch 2014 Africa Progress Report — Grain, Fish, Money

app

The Africa Progress Panel will release its annual Africa Progress Report at the World Economic Forum on Africa held in Abuja, Nigeria

On Thursday, May 8th 2014, the Africa Progress Panel (http://www.africaprogresspanel.org) will release its annual Africa Progress Report – Grain, Fish, Money – Financing Africa’s Green and Blue revolutions, at the World Economic Forum on Africa held in Abuja, Nigeria.

Chaired by former UN Secretary-General, Kofi Annan, last year’s report Equity in...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taratibu za kutatua migogoro ya kikazi — 2

KWA wasomaji wapya taratibu zilizowekwa na Sheria ya Ajira ya mwaka 1955; Sheria ya Usalama Kazini ya mwaka 1964; Sheria ya Mahakama ya Kazi ya mwaka 1967; Sheria ya Taasisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapatiwa mafunzo kutatua migogoro

SERIKALI wilayani Mkuranga, Pwani, imeombwa kutoa elimu ya sehemu sahihi ya kufikisha migogoro ya ardhi na namna ya kuitatua, ili kupunguza wimbi la migogoro hiyo. Ombi hilo lilitolewa mwishoni mwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yajitosa kutatua migogoro

Tanzania imejitosa kutatua mgogoro wa kisiasa unaondelea Sudan Kusini kwa kusuluhisha mvutano uliopo ndani ya chama tawala cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM).

 

10 years ago

Mwananchi

BoT kutatua migogoro ya wateja, benki

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imeanzisha kitengo maalumu kitakachoshughulikia malalamiko na migogoro baina ya wateja na taasisi za fedha nchini, zikiwamo benki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani