Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taratibu za kutatua migogoro ya kikazi — 2

KWA wasomaji wapya taratibu zilizowekwa na Sheria ya Ajira ya mwaka 1955; Sheria ya Usalama Kazini ya mwaka 1964; Sheria ya Mahakama ya Kazi ya mwaka 1967; Sheria ya Taasisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Upatanishi, usuluhishi wa migogoro ya kikazi — (2)

WIKI iliyopita nilisema kwamba mgogoro unaweza kutafsiriwa kuwa ni uhusiano kati ya pande mbili au zaidi zenye mahitaji yasiyokubaliana au yanayopingana. Hata hivyo  mpatanishi atalazimika kutatua mgogoro ndani ya siku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapatiwa mafunzo kutatua migogoro

SERIKALI wilayani Mkuranga, Pwani, imeombwa kutoa elimu ya sehemu sahihi ya kufikisha migogoro ya ardhi na namna ya kuitatua, ili kupunguza wimbi la migogoro hiyo. Ombi hilo lilitolewa mwishoni mwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yajitosa kutatua migogoro

Tanzania imejitosa kutatua mgogoro wa kisiasa unaondelea Sudan Kusini kwa kusuluhisha mvutano uliopo ndani ya chama tawala cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM).

 

10 years ago

Mwananchi

BoT kutatua migogoro ya wateja, benki

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imeanzisha kitengo maalumu kitakachoshughulikia malalamiko na migogoro baina ya wateja na taasisi za fedha nchini, zikiwamo benki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kofi Annan atua Cuba kutatua migogoro

Katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Kofi Annan amewasili nchini Cuba kuhamasisha mazungumzo ya amani.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI NYALANDU AANZA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

 Waziri wa Maiasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dk Adrehem Meru, wakipata maelekezo kuhusiana na mipaka ya hifadhi ya Taifa ya Saadan kutoka kwa Mhifadhi Mkuu wa Saadan, Alhaj Hassan Nguruma (katikati) walipotembelea kutatua mgogoro uliohusu wananchi na hifadhi hiyo. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Katibu mkuu wake Adrehem Meru wakiwa katika boti katika mto wami juzi walipotembelea hifadhi hiyo kwa ajili ya kutatua mgogoro wa mpaka katika...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nini kinaikwaza Serikali kutatua migogoro ya ardhi?

>Hii siyo mara ya kwanza kwetu sisi kuihadharisha Serikali kuhusu kukithiri kwa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Kairuki: Wananchi tumieni wasaidizi wa kisheria kutatua migogoro

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akiongea na waandishi wa habari katika mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya siku tano katika taasisi zinazotoa msaada wa kisheria jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo imemalizika leo (Ijumaa, Julai 18, 2014). Wengine ni Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (kulia) na Bi. Theodosia Muhulo.Kupata taarifa kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Waziri Lukuvi Mwanza kutatua migogoro ya ardhi

11

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo kutoka kwa Mh. Jaji Mfawidhi Makalamba alipokutana naye ofisini kwa Jaji huyo Jijini Mwanza ili kupata namna bora ambayo mhimili wa mahakama unaweza kusaidia kutatua migogoro ya ardhi nchini. Waziri Lukuvi yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Mwanza yenye nia ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.

New Picture (1)

Mh. Waziri William Lukuvi akizungumza na watendaji wa ardhi na Mipango Miji pamoja na Kamati ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani