Kairuki: Wananchi tumieni wasaidizi wa kisheria kutatua migogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-4r8V0-zVR-k/U8lzdhRO9fI/AAAAAAAF3cY/_EGBjWUG0e4/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akiongea na waandishi wa habari katika mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya siku tano katika taasisi zinazotoa msaada wa kisheria jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo imemalizika leo (Ijumaa, Julai 18, 2014). Wengine ni Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (kulia) na Bi. Theodosia Muhulo.Kupata taarifa kamili BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI VINAVYOZUNGUKA HIFADHI YA RUAHA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NA WAWEKEZAJI
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wasaidizi kisheria waaswa
NA ALLY BADI, LINDI
OFISA Mfawidhi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Kusini, Mourice Chisi, amewataka wasaidizi wa kisheria kutumia nafasi zao kuwasaidia wananchi mkoani hapa kutatua migogoro bila upendeleo.
Wito huo ameutoa wakati alipokuwa anafunga kikao kazi na kugawa vyeti kwa wahitimu wasaidizi wa kisheria kutoka wilaya sita za Mkoa wa Lindi kilichoandaliwa na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake na Watoto Mkoa wa Lindi (LIWOPAC).
Alisema wasaidizi wa kisheria ni...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
WASAIDIZI WA KISHERIA 25 WAPEWA MAFUNZO RUNGWE.
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...
10 years ago
VijimamboWASAIDIZI WA KISHERIA KATIKA MASOKO MANISPAA YA ILALA, WAMALIZA MAFUNZO YA SIKU 25
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7_HK1vWa2Q/Xru4NbkP49I/AAAAAAAEG_E/99LZNtfppHgnjsdOOdsueLdKi38M_b30wCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Serikali ya Mtaa yawashukuru wasaidizi wa kisheria kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Zena Kapama wakati akizungumzia umuhimu wa na kazi za wasaidizi wa kisheria pamoja na kazi zao za kuzaidia jamii na hasa kwenye kupata haki zao za kisheria.
‘Wasaidizi wa kisheria ni watu muhimu sana kwenye jamii yetu. Wanawezesha wananchi wetu kujua haki zao za kisheria na sana sana kwa wanawake ambao mara...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AFUNGUA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v8LlKJDglW0/Ved7_AZ_PjI/AAAAAAAH1_I/9Tjc9uMjitk/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydWoDqUKjr4/VeoDbsr_vcI/AAAAAAAH2ag/NWXPm-Aepqo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Taasisi ya Kivulini yaanza vikao vya utendaji kazi kwa wasaidizi wa kisheria wilaya za mkoani Mwanza
Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI Bw. Ramadhan Masele akizungumza na Wasaidizi wa Kisheria (hawapo pichani) wilaya ya Sengerema cha tathmini ya utendaji kazi wa Wasaidizi wa kisheria chini ya mradi wa msaada wa kisheria na haki za binadamu kilichoanza mapema jana asubuhi.
Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na kutetea haki za Wanawake, KIVULINI, yenye makao makuu jijini Mwanza imeanza kufanya vikao vya tathmini ya utendeji kazi wa wasaidizi wa kisheria kwa robo mwaka ya pili...