Taasisi ya Kivulini yaanza vikao vya utendaji kazi kwa wasaidizi wa kisheria wilaya za mkoani Mwanza
Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI Bw. Ramadhan Masele akizungumza na Wasaidizi wa Kisheria (hawapo pichani) wilaya ya Sengerema cha tathmini ya utendaji kazi wa Wasaidizi wa kisheria chini ya mradi wa msaada wa kisheria na haki za binadamu kilichoanza mapema jana asubuhi.
Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na kutetea haki za Wanawake, KIVULINI, yenye makao makuu jijini Mwanza imeanza kufanya vikao vya tathmini ya utendeji kazi wa wasaidizi wa kisheria kwa robo mwaka ya pili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AFUNGUA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v8LlKJDglW0/Ved7_AZ_PjI/AAAAAAAH1_I/9Tjc9uMjitk/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydWoDqUKjr4/VeoDbsr_vcI/AAAAAAAH2ag/NWXPm-Aepqo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7_HK1vWa2Q/Xru4NbkP49I/AAAAAAAEG_E/99LZNtfppHgnjsdOOdsueLdKi38M_b30wCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Serikali ya Mtaa yawashukuru wasaidizi wa kisheria kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Zena Kapama wakati akizungumzia umuhimu wa na kazi za wasaidizi wa kisheria pamoja na kazi zao za kuzaidia jamii na hasa kwenye kupata haki zao za kisheria.
‘Wasaidizi wa kisheria ni watu muhimu sana kwenye jamii yetu. Wanawezesha wananchi wetu kujua haki zao za kisheria na sana sana kwa wanawake ambao mara...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s72-c/1.jpg)
ASASI TANO ZINAZOPATA RUZUKU TOKA MFUKO WA MSAADA WA KISHERIA (LSF) KWA MIKOA YA KANDA YA ZIWA ZAMALIZA ZIARA YA SIKU 3 SHIRIKA LA KIVULINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s1600/1.jpg)
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wasaidizi kisheria waaswa
NA ALLY BADI, LINDI
OFISA Mfawidhi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Kusini, Mourice Chisi, amewataka wasaidizi wa kisheria kutumia nafasi zao kuwasaidia wananchi mkoani hapa kutatua migogoro bila upendeleo.
Wito huo ameutoa wakati alipokuwa anafunga kikao kazi na kugawa vyeti kwa wahitimu wasaidizi wa kisheria kutoka wilaya sita za Mkoa wa Lindi kilichoandaliwa na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake na Watoto Mkoa wa Lindi (LIWOPAC).
Alisema wasaidizi wa kisheria ni...