Wasaidizi kisheria waaswa
NA ALLY BADI, LINDI
OFISA Mfawidhi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Kusini, Mourice Chisi, amewataka wasaidizi wa kisheria kutumia nafasi zao kuwasaidia wananchi mkoani hapa kutatua migogoro bila upendeleo.
Wito huo ameutoa wakati alipokuwa anafunga kikao kazi na kugawa vyeti kwa wahitimu wasaidizi wa kisheria kutoka wilaya sita za Mkoa wa Lindi kilichoandaliwa na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake na Watoto Mkoa wa Lindi (LIWOPAC).
Alisema wasaidizi wa kisheria ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Nov
WASAIDIZI WA KISHERIA 25 WAPEWA MAFUNZO RUNGWE.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4r8V0-zVR-k/U8lzdhRO9fI/AAAAAAAF3cY/_EGBjWUG0e4/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Kairuki: Wananchi tumieni wasaidizi wa kisheria kutatua migogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-4r8V0-zVR-k/U8lzdhRO9fI/AAAAAAAF3cY/_EGBjWUG0e4/s1600/unnamed+(77).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7_HK1vWa2Q/Xru4NbkP49I/AAAAAAAEG_E/99LZNtfppHgnjsdOOdsueLdKi38M_b30wCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Serikali ya Mtaa yawashukuru wasaidizi wa kisheria kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Zena Kapama wakati akizungumzia umuhimu wa na kazi za wasaidizi wa kisheria pamoja na kazi zao za kuzaidia jamii na hasa kwenye kupata haki zao za kisheria.
‘Wasaidizi wa kisheria ni watu muhimu sana kwenye jamii yetu. Wanawezesha wananchi wetu kujua haki zao za kisheria na sana sana kwa wanawake ambao mara...
10 years ago
VijimamboWASAIDIZI WA KISHERIA KATIKA MASOKO MANISPAA YA ILALA, WAMALIZA MAFUNZO YA SIKU 25
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AFUNGUA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-6NetxHZ7kTY/Ved7-6xA__I/AAAAAAAH1-Y/mjwS9XvcmdA/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v8LlKJDglW0/Ved7_AZ_PjI/AAAAAAAH1_I/9Tjc9uMjitk/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydWoDqUKjr4/VeoDbsr_vcI/AAAAAAAH2ag/NWXPm-Aepqo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Taasisi ya Kivulini yaanza vikao vya utendaji kazi kwa wasaidizi wa kisheria wilaya za mkoani Mwanza
Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI Bw. Ramadhan Masele akizungumza na Wasaidizi wa Kisheria (hawapo pichani) wilaya ya Sengerema cha tathmini ya utendaji kazi wa Wasaidizi wa kisheria chini ya mradi wa msaada wa kisheria na haki za binadamu kilichoanza mapema jana asubuhi.
Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na kutetea haki za Wanawake, KIVULINI, yenye makao makuu jijini Mwanza imeanza kufanya vikao vya tathmini ya utendeji kazi wa wasaidizi wa kisheria kwa robo mwaka ya pili...
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Wasaidizi waachiliwa huru Darfur