Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA


 Mtoto Samia Selemani akinawa mikono  wakati wa kampeni ya utoaji elimu ya namna ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona Ilongero Wilaya ya Singida Vijijini mkoani hapa jana. Kampeni hiyo ilifanywa na Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) kwa kushirikiana na wadau kutoka Taasisi ya Empower Youth Prosperity  ( EYP) ya mkoani Mbeya kwa ufadhili wa Shirika la Stromme East Africa Foundation lenye Makao Makuu Kampala nchini  Uganda huku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA SEMA MKOA WA SINGIDA LATOA ELIMU NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA

Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida,  Witness Anderson (kushoto) akitoa elimu kwa wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Singida ya namna ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona.Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika hilo,  Witness Anderson, akionesha namna ya kunawa mikono.
Afisa wa Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI SINGIDA WALIPONGEZA SHIRIKA LA SEMA KWA UTOAJI ELIMU YA KUJIKINGA VIRUSI VYA CORONA


Amani Twaha, akitoa elimu.
Elimu ikitolewa kwa wasafisha viatu.

Witness Anderson, akitoa elimu kwa muuza mitumba.
Ipyana Mwakyusa akitoa elimu hiyo kwa madereva wa bajaj.

Mary Kilimba (kulia) na Veronica Peter wakitoa elimu hiyo kwa njia ya mabango.
Wananchi wakiwa wamevaa barakoa kujikinga na Corona.
Tatu Muna, akizungumzia kuhusu Corona.




Maafisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Mary Kilimba (kushoto) na Veronica ...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA SEMA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWA ASKARI POLISI WA MKOA WA SINGIDA

Mdau wa mapambano dhidi ya Corona kutoka Taasisi ya Empower Youth Prosperity ( EYP) ya mkoani Mbeya, Ipyana Mwakyusa akitoa elimu ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kwa Askari Polisi wa Kituo Kikuu cha Mkoa wa Singida leo hii Asubuhi.Askari Polisi wa Kituo Kikuu cha Mkoa wa Singida, wakipata elimu hiyo.Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Florence Mwenda, akisisitiza jambo kwa askari wa kituo hicho, wakati wa kutolewa kwa elimu hiyo.Mdau wa mapambano dhidi ya Corona kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA MEDO LA MKOANI SINGIDA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA


Daktari Mgonza Mgonza (kushoto) kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kuvaa na kuvua barakoa katika kampeni ya utoaji elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Corona Wilaya ya Singida.

Afisa Miradi wa Shirika la Mtinko Education Development Organization (MEDO), Hasan Rasuli akiwaelekeza wananchi jinsi ya kusafisha mikono kwa usahihi.
Mohamed Mpera kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kunawa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la SEMA mkoani Singida lachangia vifaa vya afya kwa wahudumu 43 wa afya ngazi ya vijiji na mitaa

IMG_1449

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali vikiwemo miavuli vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.5 milioni vivyogawiwa kwa wahudumu wa afya ngazi ya vijiji na mitaa manispaa ya Singida. Kulia ni Mganga mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk John Mwombeki.

IMG_1463

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akimkabidhi Mganga Mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk...

 

5 years ago

Michuzi

BRELA YAPATIWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA NA HOMA YA INI

Watumishi kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepewa mafunzo ya kujikinga dhidi ya virusi vya Corona (COVID-19) pia namna ya kuepuka ugonjwa wa homa ya Ini. Mafunzo hayo yametolewa na Madaktari bingwa wa magonjwa ya mlipuko kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. John C. Rwegasha na Dkt. Lilian Tina Minja katika ukumbi wa mikutano wa BRELA leo tarehe 17/03/2020 jijini Dar es salaam.

Katika mafunzo hayo Dkt. Minja amesisitiza kunawa vizuri mikono kila wakati kwa kutumia...

 

5 years ago

Michuzi

WILAYA YA MANYONI MKOANI SINGIDA WAPELEKEWA ELIMU KUJIKINGA VIRUSI VYA COVID-19


 Afisa wa Shirika la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Singida , Witness Anderson akionesha namna ya kunawa kwa usahihi kwa wananchi waliokuwa Stendi ya Mabasi ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida juzi, wakati wa kampeni ya utoaji elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Corona iliyofanywa na shirika hilo kwa kushirikiana na Shirika la Empower Youth Prosperity  ( EYP) ya mkoani Mbeya kwa ufadhili wa Shirika la Stromme East Africa Foundation lenye Makao Makuu Kampala nchini  Uganda...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI

 Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akionesha namna ya kutumia vitakasa mikono kwa wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid 19) wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na kufanyika katika ofisi za Bodi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akitoa mada ya namna ya kujikinga na virusi vya Corona kwa  wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Kivulini yaanza vikao vya utendaji kazi kwa wasaidizi wa kisheria wilaya za mkoani Mwanza

1

Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI Bw. Ramadhan Masele akizungumza na Wasaidizi wa Kisheria (hawapo pichani) wilaya ya Sengerema cha tathmini ya utendaji kazi wa Wasaidizi wa kisheria chini ya mradi wa msaada wa kisheria na haki za binadamu kilichoanza mapema jana asubuhi.

Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na kutetea haki za Wanawake, KIVULINI, yenye makao makuu jijini Mwanza imeanza kufanya vikao vya tathmini ya utendeji kazi wa wasaidizi wa kisheria kwa robo mwaka ya pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani