SHIRIKA LA SEMA MKOA WA SINGIDA LATOA ELIMU NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA
Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Witness Anderson (kushoto) akitoa elimu kwa wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Singida ya namna ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona.
Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika hilo, Witness Anderson, akionesha namna ya kunawa mikono.
Afisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWA ASKARI POLISI WA MKOA WA SINGIDA
5 years ago
MichuziTYEC MKOA WA SINGIDA YATOA ELIMU STENDI YA MABASI NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rypUsh5SygA/XocNK2h5RkI/AAAAAAAAkhg/u8LyJAdUXUU2wRarkFB-Tz-TiCMPRpRdgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200403-WA0005.jpg)
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WALIPONGEZA SHIRIKA LA SEMA KWA UTOAJI ELIMU YA KUJIKINGA VIRUSI VYA CORONA
Amani Twaha, akitoa elimu.
Elimu ikitolewa kwa wasafisha viatu.
Witness Anderson, akitoa elimu kwa muuza mitumba.
Ipyana Mwakyusa akitoa elimu hiyo kwa madereva wa bajaj.
Mary Kilimba (kulia) na Veronica Peter wakitoa elimu hiyo kwa njia ya mabango.
Wananchi wakiwa wamevaa barakoa kujikinga na Corona.
Tatu Muna, akizungumzia kuhusu Corona.
Maafisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Mary Kilimba (kushoto) na Veronica ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W9l2LfAQktk/XsOf52QE13I/AAAAAAAAMTo/ckiqtt6_A_EB8sMqUfXk96Jx5lIw9toiwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SHIRIKA LA MEDO LA MKOANI SINGIDA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-W9l2LfAQktk/XsOf52QE13I/AAAAAAAAMTo/ckiqtt6_A_EB8sMqUfXk96Jx5lIw9toiwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Daktari Mgonza Mgonza (kushoto) kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kuvaa na kuvua barakoa katika kampeni ya utoaji elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Corona Wilaya ya Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XAIbxibQgSQ/XsOf6bFahAI/AAAAAAAAMTs/aFtgCEVECY0n1nvOoKwjm-zeKWXm4juRQCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200518-WA0055.jpg)
Afisa Miradi wa Shirika la Mtinko Education Development Organization (MEDO), Hasan Rasuli akiwaelekeza wananchi jinsi ya kusafisha mikono kwa usahihi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-oLN_CNHRzbQ/XsOf5opR5BI/AAAAAAAAMTg/9bI3e5gKhf4x_MasmyLyvwgr_hs7_2xIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200518-WA0051.jpg)
Mohamed Mpera kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kunawa...
5 years ago
MichuziWILAYA YA MANYONI MKOANI SINGIDA WAPELEKEWA ELIMU KUJIKINGA VIRUSI VYA COVID-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3219-2048x1181.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa elimu ya kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3219-2048x1181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_3271-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/02-1-scaled.jpg)
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Dkt. Ismail Gatalya wakati akitoa elimu na mafunzo kwa wafanyakazi hao juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI