Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upatanishi, usuluhishi wa migogoro ya kikazi — (2)

WIKI iliyopita nilisema kwamba mgogoro unaweza kutafsiriwa kuwa ni uhusiano kati ya pande mbili au zaidi zenye mahitaji yasiyokubaliana au yanayopingana. Hata hivyo  mpatanishi atalazimika kutatua mgogoro ndani ya siku...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAARIFA RASMI KUTOKA KWA KAMATI YA JUMUIYA NA USULUHISHI WA MIGOGORO

Kufuatia mgogoro  wa kisiasa, jaribio la kumtoa madarakani Raisi wa Jamhuri ya Burundi, Pierre Nkurunziza na maelfu ya wananchi wa nchi hiyo kukimbilia nchi jirani za Tanzania na Rwanda. Hali ya kambi zinazopokea wakimbizi zinaonekana kuelemewa na kupelekea kuhatarisha hali za wakimbizi hao.
Kutokana na hali hiyo, Bunge la Afrika ya Mashariki kupitia kamati yake ya Masuala ya Jumuiya na Usuluhishi wa Migogoro imeteua wajumbe watakaokwenda kutembelea kambi hizi zilizopo Kigoma-Tanzania na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taratibu za kutatua migogoro ya kikazi — 2

KWA wasomaji wapya taratibu zilizowekwa na Sheria ya Ajira ya mwaka 1955; Sheria ya Usalama Kazini ya mwaka 1964; Sheria ya Mahakama ya Kazi ya mwaka 1967; Sheria ya Taasisi...

 

9 years ago

Mwananchi

Burundi wakacha mkutano wa upatanishi Arusha

Mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa nchi ya Burundi yameanza jijini Arusha bila serikali ya nchi hiyo kutuma wawakilishi kwenye mkutano huo.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI

Taarifa ya makubaliano toka kwa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki imetolewa leo Ikulu Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo ambapo baadhi ya maadhimio waliyokubaliana ni kwamba Rais Museveni wa Uganda awe msimamizi wa juhudi za upatanishi wa makundi nchini Humo.
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UPATANISHI WA CHAMA CHA SPLM YA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wenzie leo kabla ya kuanza kwa mkutano wa utiaji saini makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha. Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal,, Naibu Rais wa Afrika Kusini, Mhe Cyril Ramaphosa, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Kikwete, Rais Salva Mayardit Kiir, wa Sudani ya Kusini, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Makamu wa Rais wa Zamani wa Sudani ya Kusini Dkt...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Mseveni na usuluhishi wa Burundi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo ameingia siku yake ya pili ya mazungumzo ya amani nchini Burundi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya Lundenga, Patel hatua ya usuluhishi

Mgogoro uliopo baina ya mfanyabiashara Prantash  Patel dhidi ya Mkurugenzi wa Lino Agency waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga sasa umeingia katika hatua ya usuluhishi.

 

10 years ago

Habarileo

Malecela aongoza ujumbe wa usuluhishi SPLM

Malecela na Riek MacharUONGOZI wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umetinga katika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro ndani ya chama cha SPLM kinachotawala Sudan Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani