Malecela aongoza ujumbe wa usuluhishi SPLM
UONGOZI wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umetinga katika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro ndani ya chama cha SPLM kinachotawala Sudan Kusini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aNJx7ZwSEmY/VT-Re14OoUI/AAAAAAAHT2M/038Z7tI93UE/s72-c/2015-06-30%2B20.15.35.jpg)
BALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMAITAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI
Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki....
10 years ago
VijimamboDk Bilal aongoza ujumbe wa Tanzania kwenye kongamano la kimataifa kuhusu biashara haramu ya wanyamapori duniani
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika.
Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa...
10 years ago
MichuziMHE. Dkt. PINDI CHANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JINSIA NA MAENDELEO YA WANAWAKE WA NCHI ZA SADC, NCHINI HARARE, ZIMBABWE
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Upatanishi, usuluhishi wa migogoro ya kikazi — (2)
WIKI iliyopita nilisema kwamba mgogoro unaweza kutafsiriwa kuwa ni uhusiano kati ya pande mbili au zaidi zenye mahitaji yasiyokubaliana au yanayopingana. Hata hivyo mpatanishi atalazimika kutatua mgogoro ndani ya siku...
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Rais Mseveni na usuluhishi wa Burundi
9 years ago
Bongo520 Nov
2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam
![dangote-dewji-rostam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dangote-dewji-rostam-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.
Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...