RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s72-c/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
Taarifa ya makubaliano toka kwa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki imetolewa leo Ikulu Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo ambapo baadhi ya maadhimio waliyokubaliana ni kwamba Rais Museveni wa Uganda awe msimamizi wa juhudi za upatanishi wa makundi nchini Humo.
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Burundi wakacha mkutano wa upatanishi Arusha
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s72-c/download.jpg)
Balozi Rajabu Hassan Gamaha ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s1600/download.jpg)
Balozi Gamaha anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Mwasi Nzagi ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huo Balozi Gamaha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam
27 Aprili 2015
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.
Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s72-c/download+(1).jpg)
togolani mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais - Hotuba
![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa iliyotolewa Jumanne, Februari 25, 2014, mjini Dar Es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa Bwana Mavura anachukua nafasi ya Bwana Msafiri Marwa ambaye amehamishimiwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na kupangiwa kazi nyingine. Kabla ya uteuzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLdbkxF1xP58sAEnofv9fRJgmbba4SaF-etFQBX4zLTA0xqMm9OPKW1JUayInk*RUdgB5xDhub77muK2IrPz57e7/GuyScot2.jpg?width=650)
GUY SCOTT ATEULIWA KUWA RAIS WA MPITO NCHINI ZAMBIA
10 years ago
Bongo511 Sep
Mtanzania ateuliwa kuwa makamu mkuu wa rais wa BET Networks
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s72-c/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Mhe. Guy Scott ateuliwa kuwa Rais wa Mpito nchini Zambia
![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s1600/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Tayari aliyekuwa anakaimu madaraka ya...
9 years ago
Habarileo19 Nov
BREAKING NEWS: Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ametegua kitendawili cha nani kuwa waziri mkuu kwa kumteua Mbunge wa Rwangwa Kassim Majaliwa kuchukua nafasi hiyo kubwa serikalini.