Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.
Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Dec
Willy Kitima awa msaidizi wa Rais
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais (Nyaraka) kuanzia Desemba 11 mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s72-c/download+(1).jpg)
togolani mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais - Hotuba
![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa iliyotolewa Jumanne, Februari 25, 2014, mjini Dar Es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa Bwana Mavura anachukua nafasi ya Bwana Msafiri Marwa ambaye amehamishimiwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na kupangiwa kazi nyingine. Kabla ya uteuzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s72-c/0999700.jpg)
Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s400/0999700.jpg)
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HifeyUz-ocI/XrVpx_PsBlI/AAAAAAALpf4/LM0bu-3zvEkmYIv3AXmdRAKmXRcIpG9oQCLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
10 years ago
Habarileo27 May
Mtanzania ateuliwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi WHO
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Margaret Chan amemteua Mtanzania, Dk Winnie Mpanju- Shumbusho kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa shirika hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLdbkxF1xP58sAEnofv9fRJgmbba4SaF-etFQBX4zLTA0xqMm9OPKW1JUayInk*RUdgB5xDhub77muK2IrPz57e7/GuyScot2.jpg?width=650)
GUY SCOTT ATEULIWA KUWA RAIS WA MPITO NCHINI ZAMBIA
10 years ago
Bongo511 Sep
Mtanzania ateuliwa kuwa makamu mkuu wa rais wa BET Networks
9 years ago
Habarileo19 Nov
BREAKING NEWS: Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ametegua kitendawili cha nani kuwa waziri mkuu kwa kumteua Mbunge wa Rwangwa Kassim Majaliwa kuchukua nafasi hiyo kubwa serikalini.